Recent content by mfugo

  1. mfugo

    JamiiForums Tanzania Wenye Zahanati binafsi mlioingia mkataba na NHIF huwa mnalipwa baada ya muda gani?

    Mkuu kuhusu hii bima yetu ya NHIF ni majanga tu. Ukitegemea pesa ya Bima kuendeshea kituo utakifunga tu. Malipo kwa sasa wengine inawachukua hadi miezi sita. Na malipo yanakuja pungufu wakidai kwamba kuna udanganyifu na makosa yalifanyika katika utoaji wa tiba. Kipindi cha nyuma Bima...
  2. mfugo

    JamiiForums Tanzania Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Ila mkishastaaf ndio akili ya biashara inaanza kuja akilini mwenu. Ukiona kuna fursa ina maokoto zaidi ya udaktari kwanini usiupige chini. Hizo ni kazi za wito lakini kama unataka pesa unapoteza muda mkuu
  3. mfugo

    JamiiForums Tanzania Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Dhumuni la wewe kusoma udaktari ni kutibu na upate pesa. What if kama unaweza pata pesa kwa njia nyingine tofauti na huwa udaktari utaacha kufanya?. Dhana ya "Jamii itanichukuliaje" imeua mioyo ya mabilionea wengi sana mtaani
  4. mfugo

    JamiiForums Tanzania Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Watu wanakariri sana. Mtu unashindwa kuwa versatile. Zama zimebadilika. Kuwa na degree ya udaktari haimanishi lazima utibu watu. Mbona watu tuna leseni za udereva na hatujajiriwa kama madereva.
  5. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

    Mi naambiaga watu soon hii fani inaanza kuwa kama fani ya Uwalimu(Elimu). Kazi ina shurba na lawama kibao lakini ndio hivyo mishahara ya ajabu sana. Kitaa unaonekana daktari smart lakini moyoni una stress za madeni huku ukiangalia gharama ulizotumia kusomea huo udaktari miaka mitano na...
  6. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

    Mimi naona sababu kubwa kuwafanyia watu wa afya hasahasa MDs ni kutaka kujua walio na utayari wa kazi. Wengi wamekuwa wakipangiwa kazi chini ya TAMISEMI sehemu za mbali na wamekuwa hawaendi. Hii husababisha serikali kuingia kwenye database na kuajiri madaktari wengine tena Ukiona mtu katumia...
  7. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kwa mliowahi au mnaomiliki Gari ni Ushauri gani mnatoa kwa wanaotaka kumiliki Gari

    Swali la msingi inabidi ujiulize kwanza wewe. Kwanini unataka kununua/kumiliki gari. Faida gani unahisi utazipata ukiwa na gari
  8. mfugo

    JamiiForums Tanzania Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    😂😂😂umeua mwamba. Watu wanajua udaktari una pesa sana kumbe ni njaa tu. Mi mwenyewe niliamua kuachana na kazi ya udaktari(M.D) baada ya kuona pesa yote ya mwezi(take home 850,000/-)inaishia kulipia bills na kula tu ikifika mwisho wa mwaka huna hata akiba ya 1mil uliyosave. Tatizo huku...
  9. mfugo

    JamiiForums Tanzania Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

    Kweli mkuu sio kazi ndogo. Hapo unakuta matumizi ya siku ni zaidi ya milioni 5 kwa siku. Halafu kinachopatikana kwa siku haivuki ata mil 2
  10. mfugo

    JamiiForums Tanzania Walinzi Arusha wafunga mageti na kuondoka kwenye hospitali kubwa Seliani, wanadai milioni 42

    Hospital nyingi zinategemea mapato ya bima hasa bima ya NHIF. Kwa sasa bima wamekuwa hawalipi kwa wakati hivyo kupelekea hospitali kuchechemea. Ikumbukwe BIMA inasimama kama mtu kati kati ya mgonjwa na hospitali. Hivyo mtu anapopata huduma inatakiwa BIMA ilipe kwa wakati. Sasa unapochukua miezi...
  11. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Mkuu mi nakushauri kwa mkoa wa Kigoma kwa jinsi navyoujua biashara ya electronicsz na vifaa vya simu itakufaa. Pia ujitahidi uweke na vifaa vya SOLAR utapiga pesa. Hapo Kigoma wanaouza electronics ni wachache kama watatu tu, WAZIRI ELECTRONICS, STAN ELECTRONICS na ZAHIR kule mjini. Kwahiyo...
  12. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

    Pambana sana mkuu. Kigoma kuna fursa sana japo watu wengi wanapadharau sana. Watumishi wengi au wageni wakijaga huko huwa hawataki kutoka mkoa huo. Vipi upo maeneo gani hapo Kigoma?
  13. mfugo

    JamiiForums Tanzania Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

    Hapo inatakiwa kuweka kifaa kinaitwa non-return valve. Kiwekwe kwenye mita ya maji au baada ya mita ya maji. Hiyo husaidia maji kwenda uelekeo mmoja Sent from my MI 6X using JamiiForums mobile app
  14. mfugo

    JamiiForums Tanzania Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

    Hii haina tofauti na biashara ya QNET
  15. mfugo

    JamiiForums Tanzania SoC01 Sababu zinachangia kufa kwa biashara za vijana wengi

    Kwenye biashara ni kufanya kitu unachokipenda na unachokielewa, lakini usifanye kwa sababu kuna mtu umeona anafanya. Utafeli mapema. Asante sana kwa somo zuri kiongozi
Back
Top Bottom