Recent content by mfuga kuku

  1. mfuga kuku

    VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    Naisubiria Jumatano kwa hamu kubwa! Mwamba ataunguruma toka Mafichoni, kitu anachokipanda huyu jamaa kwa watanzania wanyonge ni hatari sana!
  2. mfuga kuku

    GE2025 TRC Mna wajibu wa kuueleza Umma kiasi mlicholipwa na CCM kusafirisha lundo la wafuasi wao kwenda Morogoro kujaza Uwanja

    [emoji3][emoji3] Duh! watu mna Siri sana, Kuwaosha Mavi wazungu kumbe ni Dili.
  3. mfuga kuku

    Unabii: Mkiyaona haya, basi inueni vichwa na kumtukuza Mungu

    Wabongo sie Konyo Kweli, kwa nn tunapenda kuombeana vifo? kwani ukimuombea kheri utapungukiwa na nn? au tukimchukia aliyefanikiwa na sie tutapata Ahueni ya Maisha?
  4. mfuga kuku

    Hii picha kuna kitu hakiko sawa: Mzee George Mkuchika amesimama vijana wamekaa

    Labda kwa sababu amevaa Suti oversize??
  5. mfuga kuku

    Kiwanja kinauzwa - Chanika

    Hiyo 7 inazungumzika nije nione hilo eneo?
  6. mfuga kuku

    Naomba ushauri: Nimegundua mke wangu ana mahusiano na jamaa ninayefahamiana naye

    Brother huyo malizana nae kisela! weka mtego wa kumnasa kisha waandae vijana wampe KIFILO cha Maana! hakikisha akiwa anapata kifilo uwe na Mtu wa kuchukua picha! baada ya hapo sikilizia kwa muda wa wiki Mbili reaction yake itakuwaje, kwa kuwa ni tukio la aibu hataenda kushtaki polisi! safisha...
  7. mfuga kuku

    Huenda Mama amerogwa na Wapinzani wake kisiasa ndani ya CCM? Haya anayofanya hata wababe kama wakina San Abacha hawakufanya

    Wapo watu wanafanya hayo ili kumchafua Rais wetu, huyo anayedai amebakwa kwani kabakwa na Mama? au ana uthibitisho wa hospital gani kuthibitisha kubakwa kwake? Inyeshe Mvua liwake Jua tunakwenda na Mama 2025.
  8. mfuga kuku

    Wanaoondoka CHADEMA ni waliokuwa Viongozi peke yao, Vipi Wanachama?

    Sio wote wanaojazana ktk mikutano ya CHADEMA ni wanachama au mashabiki wa CHADEMA! na sie CCM pia huwa tunahudhuria na hata wasio na vyama pia wanakuwepo!
  9. mfuga kuku

    Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !

    Malumbano yao hayana Tija kwa Afya ya CCM na Serikali natamani ningekuwa katibu wa CCM wa Mkoa Arusha ili niwakutanishe faragha kumaliza Tofauti!
  10. mfuga kuku

    Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa Hati Miliki za Ardhi, hali ipoje huko kwenu?

    Hiyo shida ipo hata Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe, wao hatoi hati kwa hata miaka 7 au 8 tangia umalize kulipia kiwanja chako.
  11. mfuga kuku

    DOKEZO Kufurika kwa Wachina Tanzania ni fursa au janga?

    Niunganishie mmoja kaka! kama una namba hebu nipasie nijaribu!
Back
Top Bottom