UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,048
- 9,342
Kwani alikuwa hauzi ?Ila Gambo kaongea ukweli wote.
Hata Ridhi One Kikwete alisema Makonda ni mtu wa hovyo alivosema anauza unga
Kwani alikuwa hauzi ?Ila Gambo kaongea ukweli wote.
Hata Ridhi One Kikwete alisema Makonda ni mtu wa hovyo alivosema anauza unga
Kumekucha...." Mkitaka kujua nani aliyewatendea watu ubaya nendeni dar-es-salaam mkaulize ,mkiambiwa ubaya wake mnaweza hata kumkimbia" - Chuma cha mjerumani.
Evidence!!!!!!Kwani alikuwa hauzi ?
Evidence hutolewa mahakamani bwashee, siyo kwenye mitandao.Evidence!!!!!!
Tatizo aligusa maslahi ya wengi kwa kujua au kutokujua. Hapa Bongo unaweza kumbana Dr Hayaland bila kujua kuwa unambana Mwigulu 😀😀...Duh !!! Hapo ajiandae mapema na kujiajiri au kusambaza CV.
Hiyo ndo shida ya vijana kukosa Vision alipokuwa RC , DC hakuwekeza katika kujijenga vizuri kuwa full package .
Hii situation ndo ilimtokea makonda alipolitaka jimbo la Kigamboni.
Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !
That is ur karmic debt. - huu ndo muda unavuna kile ulichokipanda ukiwa RC na ukiwa DC , matatizo huwa hayakosei njia .
Mtalalauana Sana na VITA yenu haitoisha salama lazima mtajane na kuvuana nguo.
Jambo lolote baya au zuri alifanyalo MTU lazima litamrudia .
Na mbaya VITA yenu inagusa ugali wenu lazima mfikishane pabaya.
Ushauri kasome kitabu cha Robert Green 48 Law of power.

Nashangaaa taasisi zote zimewakalia Kimya, wapuuzi wanashindana idadi ya kuumiza Watu?!Gambo na makonda ni kitu kimoja wote hawakustahili kuwa viongozi hadi muda huu Ila walibidi kuwa gerezani
Duh!..." Mkitaka kujua nani aliyewatendea watu ubaya nendeni dar-es-salaam mkaulize ,mkiambiwa ubaya wake mnaweza hata kumkimbia" - Chuma cha mjerumani.
What goes around comes around !Mrisho Gambo (MP) usilalamike wala kuumia stay strong !
That is ur karmic debt. - huu ndo muda unavuna kile ulichokipanda ukiwa RC na ukiwa DC , matatizo huwa hayakosei njia .
Mtalalauana Sana na VITA yenu haitoisha salama lazima mtajane na kuvuana nguo.
Jambo lolote baya au zuri alifanyalo MTU lazima litamrudia .
Na mbaya VITA yenu inagusa ugali wenu lazima mfikishane pabaya.
Ushauri kasome kitabu cha Robert Green 48 Law of power.
TrueWhat goes around comes around !
Law of the Universe !!!
Kaumiza watu gani? Mbona hatujasikia, Bashite inajulikana nchi nzima kwamba mikono yake siyo safi.Gambo pia kaumiza Sana watu
Unafikiri alipozuia hosptali ya mama wajawazito na watoto isijengwe Arusha , kisa wafadhili waliletwa Lema.Kaumiza watu gani? Mbona hatujasikia, Bashite inajulikana nchi nzima kwamba mikono yake siyo safi.
Haya yalikuwa maagizo ya magufuri ili upinzani usipate credit ndo maana magu akampa ubungeUnafikiri alipozuia hosptali ya mama wajawazito na watoto isijengwe Arusha , kisa wafadhili waliletwa Lema.
Gambo hafai kabisa na amshukuru Magufuli kumpatia ubunge asibgetoboa 2020
Late RC?!!! Ulitaka kuandika Former RC?Late RC MG kwa picha iliyopo hapa Arusha watu wanakula pesa yako tu na ubunge HUPATI, iwe ni Makonda anautaka au yeyote, wewe utausikia tu.
Kwa njia unayoanza kuitumia (kurushiana mapande as ubaya ubwera) na huyu RC wa sasa ni sawa maana inakupa hauweni ya kuponya mtima wako.
Hata mimi nakuumga mkono na tutakula pesa yako ya kupambania ubunge wako sana, japo ni kama naelewa hupati kitu, why unasema hivyo?.
Sababu 'karma is real' unachomtendea mwingine kuna wkt kinakurudia kwa njia ile ile au njia nyingine.
TUTAKUWEPO.