system ya tra kuna sehemu inaitaj masahihisho wanaitaji kukaa muda mwingi na wadau wajue namna watu wanavyooendesha biashara. huwezbukafreez akaunt ambayo mtu ndo ambayo anaendeshea biasharaa hata kama mnamdai lazima mkae chin mdraft namna. ya kulipwa maden yenu asilimia 90 biashara zinaebdeshwa...
Mambo vp mkuu fund alifungua slota kwenye toyota alteza 3s yenyeengine ya yamaha kulikua na uchafu akasafisha kwa kutumia ile spray ya kusafishia
Kuja kurudishia gari sailensa yake inasomaa rpm ya 2000
.
Fund kajaribu kuadjust kacheza nayo imemshinda naomba msaada
Sent using Jamii Forums...
Mzigo huo hapo maduka mengine kwa kariakoo wanauza 90000-120000 ila uhakika zaidi ni kwa toyota wenyewe oil kwa saizi ni tatizo makanjanja wanekua wengi
Duka la toyota wenyewe ukipita njia ya mwendo kasi baada ya kupiga kona kutoka kituo cha fire uwelekeeo wa kwenda kariaoo utakapozikuta taa za mwanzo upande wa kushoto utaona duka kubwa limeandikwa toyota na nembo yao ndo hapohapo
Kama upo dar nenda pale toyota duka lao lipo karibia na kituo cha mwendo kasi karia koo msimbazi A kanunue hydraulic ya gear box namba 4 usinunue gearbox mpya kwanza baada ya hapo uje kwenye uzi huu kunishukuru 100% tatizo sio gearbox ni hydraulic unayotumia ndo tatizo
(Hydraulic ipo kwenye...
Ok pia kitu kizur. Zaid mecury alikua ni mzanzibar kazaliwa nakakua zenj na wakaz wa. Zenj wanalifaham ilona nyumba yao inafahamika kwa umaharufu kivutio cha utali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.