Recent content by mfobi

  1. M

    TRA ilivyofifisha ndoto zangu, kujiajiri Tanzania ni zigo la misumari

    system ya tra kuna sehemu inaitaj masahihisho wanaitaji kukaa muda mwingi na wadau wajue namna watu wanavyooendesha biashara. huwezbukafreez akaunt ambayo mtu ndo ambayo anaendeshea biasharaa hata kama mnamdai lazima mkae chin mdraft namna. ya kulipwa maden yenu asilimia 90 biashara zinaebdeshwa...
  2. M

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Mambo vp mkuu fund alifungua slota kwenye toyota alteza 3s yenyeengine ya yamaha kulikua na uchafu akasafisha kwa kutumia ile spray ya kusafishia Kuja kurudishia gari sailensa yake inasomaa rpm ya 2000 . Fund kajaribu kuadjust kacheza nayo imemshinda naomba msaada Sent using Jamii Forums...
  3. M

    Nahitaji PS3!!!

    Mkuu ushapata iyo ps3 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Nahitaji kujua kuhusu ps3 yangu nikitaka kuwasha inawaka taa ya kijani papu afu inazima

    Ni model ngap phat,slim model 2000,3000 au super slim model 4000 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Natafuta mtaalam wa Gia box

    Mzigo huo hapo maduka mengine kwa kariakoo wanauza 90000-120000 ila uhakika zaidi ni kwa toyota wenyewe oil kwa saizi ni tatizo makanjanja wanekua wengi
  6. M

    Natafuta mtaalam wa Gia box

    Duka la toyota wenyewe ukipita njia ya mwendo kasi baada ya kupiga kona kutoka kituo cha fire uwelekeeo wa kwenda kariaoo utakapozikuta taa za mwanzo upande wa kushoto utaona duka kubwa limeandikwa toyota na nembo yao ndo hapohapo
  7. M

    Natafuta mtaalam wa Gia box

    Kama upo dar nenda pale toyota duka lao lipo karibia na kituo cha mwendo kasi karia koo msimbazi A kanunue hydraulic ya gear box namba 4 usinunue gearbox mpya kwanza baada ya hapo uje kwenye uzi huu kunishukuru 100% tatizo sio gearbox ni hydraulic unayotumia ndo tatizo (Hydraulic ipo kwenye...
  8. M

    PLAY STATION 3 GAME.

    Pcha tafadhli
  9. M

    PLAY STATION 3 GAME.

    Mkuu model ngap 2000,3000,4000,phat ntumie pcha
  10. M

    filamu ya " Bohemian Rhapsody".

    Ok pia kitu kizur. Zaid mecury alikua ni mzanzibar kazaliwa nakakua zenj na wakaz wa. Zenj wanalifaham ilona nyumba yao inafahamika kwa umaharufu kivutio cha utali
  11. M

    Msaada wa Haraka Juu ya Subaru Legacy

    Basi mkuu n Betri jitaid tembea na waya wa kubust kama ulivosema ukuacha Taa on Mara nying Urudia tena kutokupiga best solution n Betri mpya
  12. M

    Msaada wa Haraka Juu ya Subaru Legacy

    Betri yako kama n dry haitumii maj n dalili Za mwanzo kufa
  13. M

    Msaada wa Haraka Juu ya Subaru Legacy

    Vp ukiacha silence vp haijizimi
Back
Top Bottom