Mimi nimeuza vitu sababu ya kamari
Vitu vya 2.5 M , niliuza kama 800K, karibu 500K nikacheza aviator
Mpaka Leo nakujutia
Maana nilikua na kabati la vyombo, Tv, Radio, Computer , Kitanda na godoro 5×6, jiko la gesi, na Meza vyote niliuza kwa 800,000/= tu. Dalali alifurahi sana.
Yaani...