Recent content by mfalmee

  1. M

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Hivi hizi silaha zinazoporwa zitakuja kumdhuru nani? Ukipata jibu ndio utajua nini wajibu wako kama raia.
  2. M

    UKAWA wadaiwa kurudi bungeni na kusaini posho!

    Acha kutetea ujinga na usipende kuwa muongo kwa kutetea usilolijua, ni kweli 6 amesema ukawa wapo bungeni kudai posho.
  3. M

    UKAWA wadaiwa kurudi bungeni na kusaini posho!

    Yaani kuna watu wakipenda kitu watakaa kutetea tu hata kama wanaowapenda wameharibu, tuwe wa kweli kwa kusema UKAWA wamechemsha sana, hawakutakiwa kukimbia vita bali kupambana. Walichofanya kinafanana na askari msaliti katika vita na hukumu yake ni kupigwa risasi.
  4. M

    Nini kilimkuta huyu derva kwenye daraja la dumila???

    Mmezoea kudanganya watu, sasa umeumbuka. Siwapendi watu kama nyie kwani kwa uzushi wenu na mapicha ya uongo ndio maana mnawaaminisha watu kwa uongo. Acha kuwa muongo.
  5. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Hivi huwa ni upofu au giza akilini. Usipende kuzielezea hisia na kuziamini ni za kweli. Ukipenda kitu kisikufanye ukawa mbumbumbu wa fikra. Yape mawazo yako uhuru nje ya matakwa yako ili uwe huru kuujua ukweli na usahihi. Inanisikitisha kupenda wale usiowafaidi na kuwachukia wale unaowafaidi na...
  6. M

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Simpendi mtu anaependa kutaja vita wakati hana uwezo wa kupambana nayo, wewe vita ikitokea utakuwa na faida gani au huyo unaemshabikia atakulipa nini wakati wote ni mazombe tu, acha kutamani usichoweza kula, we isikie tu vita kwa wenzio na ya si kukute. Kuwa na mawazo hai na usiwe na mawazo mfu...
  7. M

    CHADEMA muheza kumekucha ripoti hii hapa

    Acha uongo CDM ni ya Mbowe na Slaa, wengine wasindikizaji tu. Kwa sababu mmevurugwa hamtokubali na mtaanza matusi yenu kama kawaida yenu. I like CDM but I hate Mbowe na Slaa.
  8. M

    Tundu hafai kuwa mwanasheria wa CHADEMA

    CDM ikishinda mahakama imetenda haki, CDM ikishindwa mahakama haijatenda haki. Hamridhiki jamani, msije geuka M23. Poleni.
  9. M

    Madam SPIKA: Ningekuwa na uwezo ningependekeza Mwingine afe badala ya Mh. Mgimwa

    Yaani watu siku hizi wamekuwa na tabia za umbeaumbea, ushariushari, unafikiunafiki, uongouongo, uchochezichochezi, adabu hamna, yaani mpaka mnatia kinyaa, kajambo kadogo basi katashupariwa mpaka inachukiza, nahisi watu wengi sasa wamepungukiwa uwezo wa kufikiri, na nahisi wajinga ni wengi kuliko...
  10. M

    Kamishna Ernest Mangu ateuliwa kuwa IGP mpya

    Acha fitina wewe, huyu ndiye anaefaa na ni chaguo sahihi.
  11. M

    Huu ndiyo ukweli unaofichwa juu ya Diwani Clementi Mabina aliyeuawa na wananchi Kisesa,Mwanza

    Kweli umelogwa na CDM mpaka umekuwa kipofu wa akili.
  12. M

    Huu ndiyo ukweli unaofichwa juu ya Diwani Clementi Mabina aliyeuawa na wananchi Kisesa,Mwanza

    Hakika sasa waongo na wazushi ni wengi na watatuletea shida. Mimi nimefika eneo la tukio. Hakika huyu jamaa ni muongo na sijui anapata faida gani kwa uongo. Waacheni wafiwa wafarijike na si kuwaongelea uongo.
  13. M

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    Hata aibu huoni kushabikia binadamu kuuwawa au kuuwana. Rudi katika dini ili uwe na huruma na upendo kwa binadamu wengine. Huu si ustarabu katika watu kushabikia kuuwana kwani hata wewe yaweza kukuta.
  14. M

    Hivi mamlaka zipo wapi Dr.Slaa kupigwa mikwara ya kufanya mkutano,na CCM kushabikia?

    Jamani toeni ushahidi wa tuhuma hizi au ni uzushi? Maana mengi yamezungumzwa lakini ushahidi wake hautolewi. Tusaidieni jamani.
Back
Top Bottom