Kuna mahali nilisoma, nasikia JPM udhaifu wake mkubwa ulikuwa neno " NISAMEHE NIMEKOSA"......alipenda sana mtu akubali kosa na sio kuleta siasa au kujitetea.
Nili prove hilo baada ya kuona clip you tube akiwa kwenye zile ziara zake sijui mkoa gani.....mkurugenzi mmoja alikuwa amezingua sana...
Appreciation post to you brother Lwiva Lwiva
Anaandika Lwiva 13/11/2024 kwenye thread ya Abdul NONDO ( hapa hapa JF )
Namnukuu
Chadema hadi mjambe cheche. Nilipo waambia watu humu kuwa genge la Rostam Azizi ni hatari ni raia feki waliokuwa na agenda ya kukamata serikali na taifa, wengi...
Kabisa, ukimsoma vzr ni kama CHAWA huyu, alafu ni kama anajaribu kujenga hofu na kukatisha watu tamaa.....wazalendo wa kweli ni kina Britanicca au malcom lumumba.....wao nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi
Ndio maana mafwele aliwadharau hawa wanajeshi....ni wazi walisha wasoma kuwa hamna kitu,,,me ngoja nianze kusogea kijijini kwetu mdogo mdogo maana hii nchi si salama tena hata kidogo....hasa huku mijini tutauliwa km kuku
Achaga UFALA wanaotoka huwa hawaongeagi sana wala kuchamba kama unavyofanya.....nikisema we ni mwoga kama hao hao unaowaponda nitakuwa sijakosea si ndio?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.