Recent content by metroman

  1. M

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    Nenda kapime tena, then muulize daktari akadirie hiyo mimba inaweza ya kuwa mda gani, ukijua ina mda gani, hesabu hizo siku kurudi nyuma kutoka siku utakayopewa majibu ina mda gani, then ukifika kwenye siku ambayo mimba unahisi ilitungwa, tizama mwanaume ulie sex nae, siku mbili nyuma au tatu
  2. M

    Jarida la The Economist ladai uchumi wa Tanzania unaporomoka, lahamasisha Rais Magufuli adhibitiwe kwa vikwazo kiuchumi

    yawezekana anachofanya mkuu ni sahihi, lakini kinachosemwa kwenye gazeti ni kweli tupu... kwa mtazaamo wa haraka, anayoyaongea mkuu, inaonesha ana NIA nzuri, lakini shida inakuja namna gani anayaendea maneno yake, na hapo ndipo anapoharibu, ukweli tumerudi nyuma tueke unafiki pembeni...
  3. M

    Dar es Salaam ndio chimbo la uozo wote wa kimapenzi

    Daa hao viumbe wap wengi sana
  4. M

    Kwenye hili swala la TCU embu tumtangulize mungu wakuu

    hivi hayo majina ya waliochaguliwa vyuo tayari, maana nafungua site ya tcu, haifunguki
Back
Top Bottom