Wa mtaani, wa makambini wote walikuwa rts, na leo hii wame somewa majina unfit wametolewa na tarehe 29/6 kozi inafunguliwa rasmi. Kama hujapigiwa simu jaribu wakati mwingine zikitoka.
polee mkuu, waliitwa wote kuanzia 4m 4 mpaka wenye elimu za juu.. pia makundi mbali mbali kama wasanii,wana michezo madereva n.k
kazi za jeshi zinahitaji uwe na mtu wa kukushika mkono tena mkubwa.
usiache kujaribu tena na kumtumainia muumba wako.
polee mkuu, walishaa itwa muda mrefu na juzi wamemaliza usaili 834kj makutupora, kesho yake wakachukuliwa walio chaguliwa ...
mafunzo rasmi yanafunguliwa wiki ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.