Kwani wewe ulilazimishwa kuandika chochote kwene comment yangu au unaleta shobo? Sio kupima upepo tu ata ww ukihitaji kupimwa utapimwa tu shaka ondoa tupo duniani kwa ajili ya watu kama nyie
Sema wewe mkuu nikisema mie naonekana sijui! Kwanza wengi wao hawajui nini maana ya neno BULL?? Kwa taharifa yao wapo mpaka nyoka wanaoitwa BULLSNAKE, na kuna wale samaki sisi tunawaita PAPA, sasa yupo papa anaitwa BULLSHARK, sasa wao neno bull wanajua ni NG'OMBE
Aah huko tena, utauza sana mkuu maana wao wenyewe huwa wanavizia wale mbwa wanaogongwa na magari usiku ndo wakauze nyama wakati wewe unachinja mwenyewe
Yani labda tax ikuingize mpaka ndani ya fensi, la sivyo ukijidai mjuaji eti ushukie nje.... Utajutia kichokupeleka hapo? Wanakaba balaa watoto wa manzese
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.