Tangazo la ajira
Anahitajika msimamizi wa bar
Vigezo
Awe mkazi wa Dar
Elimu form four n above
Jinsia wanawake watapewa kipaumbele
Awe na background ya sales
Mkweli na mwaminifu
Majukumu
Kusimamia bar
Manunuzi
Mauzo
Mahesabu
Ajira nk
Mshahara na marupurupu ni maelewano
Kwa mawasiliano PM
Hallo my friend
I want to ask. Hivi biashara ya bar inalipa Dar es salaam?
Nataka kuweka bar Dar es salaam. But I’m not living there. Nataka tu kuwekeza.
Sasa sijui kama inalipa vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.