Sivyo Mkuu, hapa A=5,B=4,C=3,D=2,E=1,S=0.5,F=0. Sasa anaposema total of four points and above from two subjects ana maana kwamba uwe na kuanzia DD na kuendelea. Lakini anaendelea kusema pia kwamba E sio principle pass, hivyo ukiwa na EC, ijapokuwa una total of 4 points, huna sifa kwa sababu ya...