Recent content by messer

  1. M

    Polisi anayedaiwa kumuua mwenzake asakwa kwa dau

    Tutamtambuaje MTUHUMIWA hata picha hakuna. ?
  2. M

    Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

    Mhh. .5mKsh,3mKsh.? Hakuna Mkenya wa kutoa izo pesa labda lama ni kaki 5na3 sio milioni.
  3. M

    Humphrey Polepole, tumekuletea Lowassa badala ya Lipumba na Slaa!

    Kama sikosei CUF imepewa 28% ya majimbo ndani ya UKAWA, ni sababu hiyo ilosabisha Lipumba kujiuzulu kwa shinikizo la Maalim Seif.
  4. M

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Cheki LUKU mkuu labda imekata niko mwanama na umeme upo
  5. M

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Katika wote hapo umemuona LOWASSA tuu?
  6. M

    Ni haki Katibu mkuu wa CCM Kinana kutumia Usafiri wa Polisi katika kazi za chama?

    Huo ni usafiri binafsi wa police huyo na sio wa SERIKALI.
  7. M

    Upepo umegeuka, sasa ni Makongoro Nyerere!

    Kweli Lowassa anawapa jambajamba bila kumtaja hawawezi fanya yao.
  8. M

    Watangaza nia, Lowassa hakamatiki

    Tatizo hamwataki kwenye mitandao tuu nendeni kwenye box la kura.
Back
Top Bottom