Ahahaha. Umenichekesha mkuuPolisi ni ccm na ccm ni polisi, Hakuna kosa hapo mkuu..!!! Makosa pekee yanayoonekana hapo ni kutovaa Helmet kwa wote wawili..!!!
Halafu utakuwa umejitendea haki ukiomba mods wakueditie kichwa cha habari mkuu. Maana kande si kande Mkorogo si Mkorogo..!!! Siku nyingine tulia ndipo uandike. Kuna watu wanapotezea habari kulingana na kichwa chake.
BACK TANGANYIKA
Katibu Mkuu-CCM, Kinana akitumia pikipiki ya polisi kwenda Kijiji cha Ilyamchele, kuendesha harambee ya ujenzi wa Shule ya Msingi
Kuna kosa gani hapa limefanyika?
hata kama ingekuwa ya kiraiaHivi Hiyo ni piki piki ya polisi?
Kipi kinaonesha ni pikipik ya polisi? au kisa polisi Ndo anaendesha ?
nataka kuulewa tuu?
hata kama ingekuwa ya kiraia
unadhani ni sahihi polisi wa usalama barabarani kufanya deiwaka tena akiwa na sare , halafu deiwaka yenyewe ya viongozi wa vyama ?
Huo ni usafiri binafsi wa police huyo na sio wa SERIKALI.
Hivi yule mwanajeshi aliyepanda jukwaa LA chadema suala lake liliishaje?
ccm na polisi ni mapacha
Hapa huulizi tena, ha haa!
mbona wote hawajavaa helment??...wangekuwa watu wengine hapo .....
mwaka huu ccm hatumpishi mtu ambaye hata kujenga hoja hawezi ,ccm makini itampitisha mtu ambaye hata wawakilishi wenu hawafurukuti kwenye majukwa ktk kujenga hoja, mtajibeba,subirini kama fisi anavyosubili mwishowe kunakucha.
bora anayesafiri kwa magar ya polisi ambayo ni kodi za watanzania kuriko wale wanaotembea na M4C AMBAYO NI MSAADA WA CAMERON aliyetaka tusain mikataba ya ushonga tukakata na kufuta uzamini wa badi ya mikopo,nyie mkamuona anafaa na kwenda kuomba msaada kwa mlango wa nyuma.