Recent content by Messenger RNA

  1. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Chongolo: Wakulima ondoeni shaka, mbolea ipo ya kutosha

    Safi sana
  2. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania [Siri yingi] Nauza kitabu Cha Henoko Cha kiswahili (bibilia hakipo) Bei 5000

    Kama kwenye biblia hakipo wewe umekipata wapi?
  3. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Hakuna Nchi yenye Wafanyakazi wa Serikali wasio wazalendo kama Tanzania

    Watumishi wa Serikali ni lazima wawe watiifu kwa Serikali iliyopo madarakani.
  4. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Na sisi wa mikoani tupunguze shobo na ndugu wa Dar es Salaam

    Ilikuwa zamani kwa sasa hakuna mtu wa mkoani mwenye muda huo wa kupoteza.
  5. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania CCM Mwaka huu wakitoboa ntatembea kwa miguu toka Mwanza to Dar kwa miguu

    Future impossible tense
  6. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Shirika la Human Rights Watch (HRW) yaituhumu Jeshi la Mali na Kikundi cha Wagner kwa Mauaji na Utekaji wa Jamii ya Fulani

    Jamii ya Furani ni wakatili sana hawa jamaa, huwa wanaona wao ndio pekee wenye haki ya kuishi.
  7. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Tajiri Temba Watch amchapa risasi kijana huko Kilimanjaro

    Kuna walakini na hii habari, kuna taarifa zimefichwa kwa makusudi au kwa lengo maalumu.
  8. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Nabii Rolinga : Siku 90 zijazo, Tanzania kutokea janga zito 'Hii ni hasira ya Mungu'

    Mungu aepushie mbali, amen.
  9. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Si Russia wala Iran hakuna mwenye uwezo wa kuanzisha vita kwa sasa.
  10. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA: Tupo tayari kuungana na vyama vingine kudai mabadiliko

    Mzee Rungwe kaula dakika za jiooooooni.
  11. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Polisi atakayebeba Kura Bandia ni halali yetu

    Wanavyoongea kwa uchungu kama wako serious vile.
  12. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi wa Buchosa washuhudia Makala ya miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa na Mbunge wao Eric Shigongo

    "Niliwaahidi tisheti, je nimeleta au sijaleta?"- Shigongo.
Back
Top Bottom