Recent content by Messenger RNA

  1. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Heri ununue kwa Mswahili anaekupiga faida mara 3 na kujitetea pesa inabaki nchini au ununue kwa Mchina kwa bei rafiki huku akituma pesa kwao?

    Acheni wizi. Watu mnajisifu kabisa mnauza mara tatu ya bei ya kawaida halafu tuje tupigwe mje mtutukane mtaani. 😄😄 Hiyo haiwezekani sisi na mchina tu, ninyi mtakula uwizi wenu.
  2. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Watanzania huku tunaenda wapi? Hawa watu ni Watanzania au ni AI?

    Vijana wa mbwa mwitu wanalipwa na nani na kuongozwa na nani, usalama wa ukoje kwa kiongozi wa dini kujisifu kuwa na kundi la mbwa mwitu wenye mafunzo?. Maoni yangu. Kundi hili huenda kwa sasa likaonekana zuri kwa kuwa linaonekana kuisaidia Serikali lakini baade huko mwelekeo wao ukabadilika na...
  3. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: Kero, changamoto na suluhu katika sekta ya Kilimo na Mifugo

    Ndugu wadau wa Jamii Forum As-salamu alaykum, Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo, Majeshi Majeshi. Kama mnavyofahamu, viongozi na wadau wengi wenye dhamana ya kufanya maamuzi hupita na kusoma maoni katika jukwaa hili. Ili kuwa na sauti ya pamoja na yenye nguvu, nimeona ni vyema kuanzisha...
  4. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania [Siri yingi] Nauza kitabu Cha Henoko Cha kiswahili (bibilia hakipo) Bei 5000

    Kama kwenye biblia hakipo wewe umekipata wapi?
  5. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Hakuna Nchi yenye Wafanyakazi wa Serikali wasio wazalendo kama Tanzania

    Watumishi wa Serikali ni lazima wawe watiifu kwa Serikali iliyopo madarakani.
  6. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Na sisi wa mikoani tupunguze shobo na ndugu wa Dar es Salaam

    Ilikuwa zamani kwa sasa hakuna mtu wa mkoani mwenye muda huo wa kupoteza.
  7. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania CCM Mwaka huu wakitoboa ntatembea kwa miguu toka Mwanza to Dar kwa miguu

    Future impossible tense
  8. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Shirika la Human Rights Watch (HRW) yaituhumu Jeshi la Mali na Kikundi cha Wagner kwa Mauaji na Utekaji wa Jamii ya Fulani

    Jamii ya Furani ni wakatili sana hawa jamaa, huwa wanaona wao ndio pekee wenye haki ya kuishi.
  9. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Tajiri Temba Watch amchapa risasi kijana huko Kilimanjaro

    Kuna walakini na hii habari, kuna taarifa zimefichwa kwa makusudi au kwa lengo maalumu.
  10. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Nabii Rolinga : Siku 90 zijazo, Tanzania kutokea janga zito 'Hii ni hasira ya Mungu'

    Mungu aepushie mbali, amen.
  11. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Si Russia wala Iran hakuna mwenye uwezo wa kuanzisha vita kwa sasa.
  12. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA: Tupo tayari kuungana na vyama vingine kudai mabadiliko

    Mzee Rungwe kaula dakika za jiooooooni.
Back
Top Bottom