Recent content by Meryc Bryce

  1. M

    Nahitaji chuo kikuu chenye masomo ya jioni

    Kukosea ndo ujinga?ujinga ni kumrekebsha mtu kidharau?
  2. M

    Nahitaji chuo kikuu chenye masomo ya jioni

    Mambo wapendwa, Napenda kujua chuo kikuu chenye masomo ya jioni ngazi ya degree. Kiwe Dar-es-salaam au Pwani. Ingawa sina uhakika kama Pwani kuna vyuo vya degree. Ila kisiwe Huria. Mwenye ufahamu navyo naomba anielekeze.
  3. M

    Tunatafuta wafanyakazi

    even me nashangaa kununua fomu za kaz!
Back
Top Bottom