Recent content by Merlin++

  1. M

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Hata kama ni kata nne lakini watakaokuwamepoteza ni maccm kwani ukiwa na elfu kumi ukapoteza elfu moja sidhani kama itakuwa elfu kumi tena.
  2. M

    Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

    Wewe kichaa wa uk ukiamka tu cdm. Utakoma mwaka huu bila cdm ungeshakufa kwani ungeshindwa la kuongea. Shukuru cdm wanakufanya unaenda choo
  3. M

    CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

    Kweli cdm imewakalia pabaya wataanzisha magazeti kwa ajili ya cdm. Kweli cdm ni habari ya Mujini bila kuitaja akina Simiyo hawaendi choo
  4. M

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Msema ukweli ni mpenzi wa mungu. Na ukweli utabaki kuwa ukweli daima. Wasanii wa bongo movie hawajajiunga na ccm kwa mapenzi yao. Ccm imewalipa pesa nyingi na kuwasafirisha kwenda Mbeya kwa ndege. Halafu wamefanya ubaguzi kwani wamewachagua baadhi yao. Ivyo utaona mgawanyiko itakayotokea kwenye...
  5. M

    CHADEMA siyo kila msanii au kijana ni lazima ajiunge na ninyi

    Msema ukweli ni mpenzi wa mungu. Na ukweli utabaki kuwa ukweli daima. Wasanii wa bongo movie hawajajiunga na ccm kwa mapenzi yao. Ccm imewalipa pesa nyingi na kuwasafirisha kwenda Mbeya kwa ndege. Halafu wamefanya ubaguzi kwani wamewachagua baadhi yao. Ivyo utaona mgawanyiko itakayotokea kwenye...
  6. M

    Nikifika Tz inshallah kitu cha kwanza ni kuipiga kibiriti kadi CHADEMA

    Utasemaje ukifika bongo utaichoma kadi ya cdm na hapo hapo unasema chama changu makini ccm. Pamoja na kuwa uko uliko sijui uko malasya ulikuwa na kadi mbili. Moja ccm moja cdm, basi uko hapo kimangumashi ndio kisa cha kuwa na kadi mbili angalau uweze kusaidiwa namna ya kurudi bongo. Subiri hiyo...
  7. M

    Mbowe awagomea polisi kushuka jukwaani Kibaha

    Co yeye uwezi kuwa kwenye keybord 24 seven kwani hana kazi aendi chooni, apati hata chakula huyo ndio Simiyo yaani anaweka vijana ndio wanaomwandikia ndio maana hata siku moja ujaona akiandika point. Yeye kwa vile analipwa pesa na maccm kawaajiri vijana wanatumia id yake
  8. M

    Vita kati ya Malecela na Lowassa ni ya muda mrefu. Hii hapa ndiyo siri ya utajiri wa Lowassa

    Hapo bado maccm wanasema Lowassa ni msafi anafaa kuwa rais achana na ilo kwani watasema ni uongo. Je na hili lililomwondoa kwenye uwaziri mkuu mpaka akawa bench hadi leo. Lowassa hafai kuongoza nchi hii kama alikwapua akiwa waziri mkuu na akiwa rais c itakuwa balaa. Kazi kwenu mccm wenye tamaa...
  9. M

    Mikakati kabambe ya Kinana yaanza kulitikisa Jiji la Mbeya

    Mbona leo maccm hamsemi kuwa wanywa viroba. Mbeya jiji la wajanja kula ccm kulala.....
  10. M

    Mbunge wa CHADEMA awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati

    Sio unaongea kama mwendawazimu zingatia sheria ya wamama/wanawake uwezi kumvamia na kumwangusha chini hata kama hakuumia bila sababu ndio maana wanawake iwe wapi viwanja vya ndege au katika sehemu yeyote inayohusu kukaguliwa hairuhusiwi kukaguliwa na mwanaume. Tatizo lako wewe tangu uongwe izo...
  11. M

    Mbowe aacha mpasuko CHADEMA Bukoba kwa kumuunga mkono Kagasheki

    Sioni kosa kwa Kagasheki kusifiwa kwa mazuri aliyoyafanya. Cdm wanaelewa kuwa Kagasheki sio fisadi ndio kisa cha kumuunga mkono. Kagasheki angekuwa fisadi kama maccm wengine asingetolewa kwenye uwaziri.
  12. M

    PICHA: Yaliyojiri katika mkutano wa CHADEMA Mbeya - Aprili 24, 2013

    Wanacdm/wananchi walioenda kwenye mkutano wa cdm Je walisombwa na magari, walilazimishwa kwenda? Au walienda kwa mapenzi yao jiulize, kama ww ni mshauri mzuri Rais wako anakuwa kwenye sikukuu ya mapinduzi ya Zanzibar halafu ghafla bin vuu anasimama na kusema kesho Jumatatu (13/01/14) ni sikukuu...
  13. M

    CHADEMA hawana Ikulu wanarusha chopa tatu angani kujenga chama, wakichukua nchi itakuwaje?

    Wakichukua nchi Tanzania itakuwa kama us. Barabara safi, maji, umeme usiokatika, kila mtanzania kuwa na haki sawa bila kujali kuwa huyu/yule anazo, elimu bure kwa wote na mengine mengi ambayo haijawai kufanywa na hii serikali ya maccm chama cha Mafisadi. Kwani wanafisadi kila kitu, wanyama...
  14. M

    RATIBA ya M4C- Operesheni Pamoja Daima Januari 26, Kagera, Mbeya, Njombe na Singida

    Kwani kodi tunayolipa inafanya nn. Maccm mmebakia kuuza tembo wetu, dhahabu zetu pesa mnatia mifukoni halafu mnasema cdm watoe helikopta. Helikopta za jeshi, polisi zinafanya nn. Maccm lenu hilo nyie si ndio mnakusanya kodi angalau mzipeleke huko kwa sasa sio mbaya hamtapata hasara japo kwa...
  15. M

    Barabara ya Strabarg: Kielelezo cha ujinga wetu!

    Tatizo ni wakazi wa dar. Wakazi wa dar wao wanaona pesa ndio maendeleo ivyo kujidai kuwa wako bussy kutafuta pesa pasipo kufuatilia miundo mbinu imekaaje. Hakuna asiejua kuwa dar ndio kila uchafu kinapatikana. Maji shida, foleni ndio usiseme, takataka, magereji kukaa ovyo ovyo. Nilitegemea...
Back
Top Bottom