Recent content by mercy2004

  1. mercy2004

    Wanawake wazuri na wanaume wawajibikaji wote wameolewa na kuoa

    mxyuuuu utafiti wa kisenge huo unawaza ndoa hadi leo watu tunawaza tunatoka vipi kimaisha we unawaza eti wanaume wawajibikaji na wanawake wazuri wameoa na kuolewa nani kakudanganya wabaya wangapi wameolewa na wazuri wapo tu nyumbani unaweza kuniambia ni kwann thamani ya ndoa ilikua zamani acha...
  2. mercy2004

    Salama Jabir punguza usela

    Ee!!! Elisamehe ndo naskia kwako
  3. mercy2004

    Binti asimulia watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro China

    Naskia Anaishi na basha la kikongo kwamadiba
  4. mercy2004

    Binti asimulia watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro China

    nasoia masogange anaishi na basha LA kikongo hahahaaaaa
  5. mercy2004

    Binti asimulia watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro China

    Mbona wengine tunawajua kabisa wanapost machapi fb as if wa na kazi nzuri huko au unaweza kudhani wanafanya issue za maana kumbe wanafanya kujiuza mmmmh nakumbuka kuna dada mmoja aliuawa huko kwa kipigo na mwanaume nae alikua anajiuza mmmh
  6. mercy2004

    Salama Jabir punguza usela

    Hahaa inawezekn akawa lesbian ushawahi sikia km ana msela wakem?? Hata wakusingizia!
  7. mercy2004

    Salama Jabir punguza usela

    Umri ikifika c atakua km bi Cheka heheheeeee
  8. mercy2004

    Salama Jabir punguza usela

    Hahaaa Nani Makerubi
  9. mercy2004

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    kuna mmoja nimeona amesema hayo mavazi ni kwa wahudumu tu ni hadi kwa raia wa kawada ukijua siku hiyo utadhuru ofisi za umma jipange toka home asa inahusu!!! aaaaaah wafanye mambo mengine ya msingi bana
  10. mercy2004

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    mbona yapo mambo mengi yakuyangaalia sio nguo tu
  11. mercy2004

    Kwa Wasiojua Kulengesha

    hahahhaaaaaa hiyo ni nouma
  12. mercy2004

    Waziri Tizeba analala hoteli mpaka leo kwa kodi zetu

    binafsi sidhani kama serikali imeshindwa kupata nyumba kwa ajili ya huyo waziri ni uzembe tu na kuwa na kasumba ya kutojari kodi za wananchi ingekua amri yangu ni kutandika wahusika wote ...............ikija ishu ya walimu serikali haina pesa
Back
Top Bottom