Nunua huku huku kitaa, huku kuna muda Vifaa mwanzoni vinakuwa gharama sana na utapata shida ya Upatikanaji maana uhitaji utakuwa mkubwa....
Nunua vitu uje navyo.... Hakikisha unanunua kadri ya walivyoelekeza.
Watakuwa wachache sana... Usikate Tamaa Kijana POLISI SIO MWISHO WA MAISHA.... KUNA MAISHA MAZURI SANA MBALI NA JESHI
BOGI LAZIMA LIWEPO ILA WACHACHE SANA NAAMINI....
All The Best Kazi Kitaa Kwanza
Upo Sahihi kabisa mkuu Mashirika Ya Umma Yako Vizuri... Posho Pamoja Na Mishahara Ni kitu ambacho hata upewe kiasi gani Hauwezi kutosheka na shida haiwez kuisha itapungua tu....
Majeshini huku ni uzalendo mwingi, Muda mwingi Askari wapo kazini kupambana....
Ukiwa Majeshini lazima ukumbuke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.