Recent content by Mercenary Army

  1. Mercenary Army

    PreGE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

    Watu kama nyie ni mzigo mzito kuelekea safari ya maendeleo ya taifa hili zuri la Tanganyika
  2. Mercenary Army

    Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    🤣🤣Mkuu wanasema et fools gold au iron sulfide,hayana hela kabisa
  3. Mercenary Army

    Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    Mkuu shukran sana kwa mchango,,vp Yana thamani yoyote?
  4. Mercenary Army

    Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    Kwa ushahidi zaidi napost video za hayo madini,ushauri wenu wakuu
  5. Mercenary Army

    Mradi wa BBT ulikuwa umelenga kuwatajirisha wanasiasa na sio kusaidia vijana

    Mradi wenyewe ulikuwa na upendeleo tu,,,ili kupata nafasi ilibidi uwe na kadi ya uvccm bila hvo hutoboi
  6. Mercenary Army

    Rais Samia Suluhu Hassan ni Tunu ya amani na umoja wa Taifa letu Tanzania

    WEWE ni MPUMBAVU grade 1 🚮🚮🚮,,,wewe na yeye wote nyie ni nyara
  7. Mercenary Army

    Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

    Shida ya wanaCCm mlio wengi,mnatanguliza maslahi ya chama chenu chakavu kabla ya maslahi ya nchi,hivi nani aliyewaroga nyie watu?, et chama kwanza nchi baadae? Rubbish
  8. Mercenary Army

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Daah hadi Fabrizio Romano kathibitisha asee,Diogo Jota amefariki Kwa ajali🥲🥲🥲🥲
  9. Mercenary Army

    Mikoa 10 ni migumu sana kutoboa maisha

    Kigoma hasa wilaya ya Kasulu hela ipo asee,,mzunguko wa hela pale ni mkubwa mno nilipapenda sana
  10. Mercenary Army

    Kupambana na Mvujishaji wa siri za ufisadi badala ya kupambana na huo ufisadi.

    Raisi ana uwezo mdogo mno kuongoza hii nchi,,na hapendi ukweli usemwe kabisa 🚮🚮🚮
Back
Top Bottom