Recent content by Mercenary Army

  1. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Kero ya Ada Chuo cha Maji (Water Institute): Unyanyasaji wa kuzuia wanafunzi kufanya Test 1 na 2 kisa salio dogo la ada unakiuka maagizo ya Serikali

    hiyo huduma hawana mkuu,ko wanafunzi wengi wanaojilipia ada ndo wanateseka mno
  2. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Kero ya Ada Chuo cha Maji (Water Institute): Unyanyasaji wa kuzuia wanafunzi kufanya Test 1 na 2 kisa salio dogo la ada unakiuka maagizo ya Serikali

    mkuu,hatujakataa kulipa,pia elewa mada tafadhali,hiyo control number ya ada yenyewe Ina expire mwezi wa 10 mwaka huu,we unadhani kwanini hiyo control number walipeleka hadi mwezi wa 10 iwe expired?
  3. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Kero ya Ada Chuo cha Maji (Water Institute): Unyanyasaji wa kuzuia wanafunzi kufanya Test 1 na 2 kisa salio dogo la ada unakiuka maagizo ya Serikali

    WanaJF salamu, Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester II). Kumekuwa na mfumo wa uendeshaji unaoonekana kulenga faida au biashara zaidi badala ya kutoa huduma...
  4. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    🤣🤣Mkuu wanasema et fools gold au iron sulfide,hayana hela kabisa
  5. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    Mkuu ni Tanzanite hii😀?ili nianze sherehe
  6. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    Mkuu shukran sana kwa mchango,,vp Yana thamani yoyote?
  7. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Haya ni madini gani? Au ni mawe tu ya kawaida maana yametoka Mererani

    Kwa ushahidi zaidi napost video za hayo madini,ushauri wenu wakuu
  8. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema ametangaza kustaafu siasa

    Fake
  9. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Mradi wa BBT ulikuwa umelenga kuwatajirisha wanasiasa na sio kusaidia vijana

    Mradi wenyewe ulikuwa na upendeleo tu,,,ili kupata nafasi ilibidi uwe na kadi ya uvccm bila hvo hutoboi
  10. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ni Tunu ya amani na umoja wa Taifa letu Tanzania

    WEWE ni MPUMBAVU grade 1 🚮🚮🚮,,,wewe na yeye wote nyie ni nyara
  11. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

    Shida ya wanaCCm mlio wengi,mnatanguliza maslahi ya chama chenu chakavu kabla ya maslahi ya nchi,hivi nani aliyewaroga nyie watu?, et chama kwanza nchi baadae? Rubbish
  12. Mercenary Army

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Daah hadi Fabrizio Romano kathibitisha asee,Diogo Jota amefariki Kwa ajali🥲🥲🥲🥲
Back
Top Bottom