We nawe nilikuwa nakuona wa maana kumbe ni kiazi. Kuwa mtoto wa RAIS unakuwa juu ya sheria?. Sheria gani inamzuia mwanamke kutokamatwa na POLISI wa kiume? Ukivunja sheria unashughulikiwa kwa mujibu wa sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.