Recent content by mens legis

  1. mens legis

    Makanisa mpunguze michango jamani. Hasa RC, kuna nini siku hizi?

    Kujiunga na kanisa ni hiyari Kama michango imezidi achana nao
  2. mens legis

    Kama suala ni vyeti feki kwanini majeshini waachwe?

    Kwa taarifa yako majeshini hamna vyeti feki ndo maana hawachakaguliwa
  3. mens legis

    Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ajivua Ubunge; ajitoa CCM na kuomba kujiunga CHADEMA

    Huyo kafa kisiasa walikuwepo akina Rostam Azizi wako wapi
  4. mens legis

    Wizara ya mambo ya ndani jitokezeni hadharani kumpongeza RC Makonda

    Huyu bwana ni mbunifu Sana mnyonge mnyongeni lakini haki yake tumpeni. Well done Dar es Salama Regional Commissioner. Keep it up.
  5. mens legis

    Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    Aisee inauma Sana rip kamanda Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mens legis

    Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    We nawe nilikuwa nakuona wa maana kumbe ni kiazi. Kuwa mtoto wa RAIS unakuwa juu ya sheria?. Sheria gani inamzuia mwanamke kutokamatwa na POLISI wa kiume? Ukivunja sheria unashughulikiwa kwa mujibu wa sheria Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mens legis

    Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    Mnapoteza muda tu hapo ataambulia kapa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom