Hao watu wasio na exposure ,ni matusi kuifananisha Mwanza na Dar. Dar ni ya kuifananisha na miji mikubwa nje ya Tz labda hapo ni sawa. Dar yenye square kilo meter 1700, ambapo 1200 ni slum na unbuilt. 500 ni planned areas. Hako ka Mwanza kenye ukubwa wa 240 mji including planned and unplanned...
Hiyo taasisi ya uhamiaji ni ya kijinga sana, washamba, roho mbaya na wivu umewajaa. Umasikini utakua kwa kasi tz kwasababu ya hii taasisi inaendeshwa kishamba. Hawajui kuwa passport sio viza.
All in all watoto wa mabosi na wenye connection wanapata kilaini passport. Kama huna connection pale...
Huyo jamaa mjinga sana, na wewe pia si uliambiwa uitoe. Umeamua kulea mwenyewe lea acha kulia lia, kwa kifupi wote mnashida. Kwa kifupi pambana na hali yako.
Passport ni kikwazo namba moja, katika nchi hii taasisi nayoichukia kuliko zote ni uhamiaji. Jinsi nilivyopata passport inabaki siri yangu, nawajua wabongo wengi wanaamua kwenda nje hapa hapa africa bila ya passport matokeo yake hawaaminiki na wengi wao huuwawa ovyo. Passport pale uhamiaji...
Passport ni kikwazo namba moja, katika nchi hii taasisi nayoichukia kuliko zote ni uhamiaji. Jinsi nilivyopata passport inabaki siri yangu, nawajua wabongo wengi wanaamua kwenda nje hapa hapa africa bila ya passport matokeo yake hawaaminiki na wengi wao huuwawa ovyo. Passport pale uhamiaji...
Ukiona chuki inakuja jua wema ulitangulia, binadamu hana shukrani. Mimi ntasaidia yatima tu kwenye masuala ya ada, sijui mtoto wa mjomba sijui wa kaka mkubwa achana nayo kama hupendi kulaumiwa.
Ukitenda wema usitegemee akurudishie.
Ukiona chuki inakuja jua wema ulitangulia, binadamu hana shukrani. Mimi ntasaidia yatima tu kwenye masuala ya ada, sijui mtoto wa mjomba sijui wa kaka mkubwa achana nayo kama hupendi kulaumiwa.
Ukitenda wema usitegemee akurudishie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.