MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Nyie mashabiki wa Man u nyie hapo hamna raha kabisaMan city 3 chalsea 2
Nyie mashabiki wa Man u nyie hapo hamna raha kabisaMan city 3 chalsea 2
Man u nyie mna shida3-1 Chelsea anakufa
Ndiyo napata nguvu ya kumka sasa hivi, nilipiga bia mingi sana janaNyie mashabiki wa Man u nyie hapo hamna raha kabisa
HahahahaahahahaNdiyo napata nguvu ya kumka sasa hivi, nilipiga bia mingi sana jana
Pole ndugu anguMan City ni bingwa wa UEFA
Pole aseeeCity atakuwa Bingwa.. No way!
Hongera sanaa kwa utabiri japo magoli sio sahihiMan City 0 Chelsea 2
Kama ulikuepoJiji la Manchester linakwenda KULIA TENA KWA MARA YA PILI.
Dondosha utabiri wako kuelekea fainali ya ligi ya mabingwa ulaya(2020-2021) Kati ya Chelsea na Man city itakayopigwa terehe 29 mwezi huu wa 5 katika dimba la Attaturk Olympic stadium huko Instanbul Uturuki.
Pia Kuna wanaosema Chelsea ni underdog kwa Man city nao waje watupe sababu zao hapa.
Vipi kaka umemuona Kante, je unajengine kumuhusu Kante.
Kante legend
Ngolo mutu mubayaKuanzia robo kanacgukua tu man of the match,nusu kamechukua nje ndani na fainali kamebeba,na kaka muacha hoi kdb
TulishamjuaOhooo nyie jichanganyeni tu mchanganyikiwe, najua kwa Cityzens lazima mpaki basi, hamna ubavu wa kufunguka, na huyo Kante wenu atalemewa pale kati mtamtafuta hamtamuona ndio mtajua Guardiola ni nani.
Tupe sababu kwann Chelsea ni underdog kwa cityMambo mengine yamekaa kitoto sana,yani Chelsea ni underdog kwa man cty,Chelsea ambae makombe yote uefa waliyoanzisha alishabeba ndo umfañanishe na CTY asiye na lolote huko uefa
City kafanya rotation wachezaji 9, Chelsea 5, bado refa kawanyima City penalti na Aguero kuonesha dharau aliyonayo kwa Chelsea akaamua kuwapa zawadi ile penalti yake, tar 29 ndio mtajua Man City ni jini gani.
Una ushabiki wa Kizalendo kabisa kwa City, hongera sanaCity 4 .Chelsea 1.
tupe maana ya underdogMambo mengine yamekaa kitoto sana,yani Chelsea ni underdog kwa man cty,Chelsea ambae makombe yote uefa waliyoanzisha alishabeba ndo umfañanishe na CTY asiye na lolote huko uefa
Guardiola aliwapa zawadi ya lile kombe makusudi, mumshukuru sana.Una ushabiki wa Kizalendo kabisa kwa City, hongera sana
Tupe sababu kwann Chelsea ni underdog kwa city
tupe maana ya underdog