Nunua machine maalum kwa ajili ya kutengengeza vyakula vya mifugo na ndege kama kuku bata nk , utafanya packing na kuwa na brand name maalum ya biashara yako na aina ya vyakula unavyouza ,.. hii ni biashara viable sana. ukiwa umevutiwa nayo nikuandalie BUSINESS PLAN pamoja na PROJECTION CASH...
Wewe shida yako ni mitandao ya kijamii mpaka mda wa kuandika haya unao ur not serious guy. Nimesoma udsm na ninafanya kazi na sijapata sup hata moja ww ni mzembe pubguza starehe na mengineyo..... ungekuwa mtt wangu adhabu yako ni kulima kijijini miaka 2 ndo uaply upya chuo.... sijui umefikaje...
Nashauri dada zetu muwe makini coz hili jambo linaumiza lakini msipende kujiachia kwa kila mtu.. inatakiwa mfahamu ya kwamba si kila fundi mhashi ni mjenzi...waweza kuta hata kwake hamna zizi la fito.... na ninyi madume punguzeni munkari... tafuteni njia mbadala kama mazoezi nk nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.