Huko benin sahivi wananchi wanaandamana hawamtaki rais wanataka nchi iongozwe na colonel pascal tigri
Nigeria bado inaendelea kudhibiti maandamano hayo baada ya kupokea order kutoka kwa rais wa ufaransa
Anae kwambia mapinduzi yame feli anakudanganya, wamewai kufanya propaganda tu serikali ya benin
"Mimi ni Kanali Pascal Tigri, rais wa Kamati ya Kijeshi ya Kuunda Upya (Military Committee for Refoundation).
Nawahutubia leo kuwaomba wananchi wote wa Benin waamke na kuunga mkono operesheni hii ya...
Kikundi cha wanajeshi kilionekana kwenye televisheni ya taifa ya Benin kikitangaza kuvunjwa kwa serikali katika kile kinachoonekana kuwa mapinduzi nchini humo, iliyopo Afrika Magharibi.
Mapinduzi hayo yametangazwa leo siku ya Jumapili kumng’oa madarakani Rais Patrice Talon, ambaye ameiongoza...
Tulishauri awali kabla ya trh 29 kama wew unavyo shauri haya,
https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-haja-gani-ya-kutunishiana-misuli-wote-tunajenga-nyumba-moja-turudi-mezani-kwa-maslahi-mapana-ya-taifa.2388856/
Je, nini hatima ya kauli iyo kijasusi, kasema yupo Tanzania na watanzania wasiogope wapinge tena kwa vitendo" kamalizia kwa kusema wanaanzia sehemu fulani kumaliza sehemu fulani
Uchambuzi wa kiintelijensia nikaja na nadharia zifuatazo.
1- Watanzania wasiogope
ANa watia moyo watanzania na pia...
Maridhiano yalitakiwa yafanyike kipindi hiki pitia uzi huu
https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-haja-gani-ya-kutunishiana-misuli-wote-tunajenga-nyumba-moja-turudi-mezani-kwa-maslahi-mapana-ya-taifa.2388856/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.