Hata hivyo wananyanyasa wafanyakazi jambo ambalo halimpendezi Mungu. Wamrudie Mungu wao.
Kumbukeni kikichitokeaga NAKUMATT MOSHI hadi taarifa zilifika kwa mkuu wa Mkoa King kimanjaro enzi hizo na humu mjadala ulikuwa mkubwa sana.
Tafadhali usichukue uamuzi wa haraka kiasi hicho maana hata mama mwenye mtoto nadhani anajiuliza sana kuwa ana mkosi gani. Kumbuka mtoto wa kwanza alifariki wakakati akijifungua na yule wa Pili mimba iliharibika.
Fanya uchunguzi kupitia kwa madaktari ili waone kama kuna tatizo linalosababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.