Recent content by mendamenda

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wabunge wanataka majimbo mengi zaidi?

    Kazi ya mbunge jimboni kwake haieleweki vizuri, binafsi nadhani mbunge angewakilisha mkoa mzima. Maana watendaji wa kisiasa na serikali wapo kuanzia ngazi ya mkoa mpaka ya chini kabisa yaani mtaa au kijiji/kitongoji. Mengineyo ni janja janja ya ulaji kupitia ubovu wa katiba iliyopo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Siasa: Kama hii katuni ya chatu na mbwa imechorwa na Masood Kipanya basi anapaswa kupewa tuzo ya kutuchanganya

    Huyu mbwa anadhani anamuendesha chatu, na hajui Kama haoni. Na chatu ameshamjua, na kamfungia kabisa kwa kusokota mkia wake. So hamna tumaini la uhakika kwa huyo mbwa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mbeya jiji na kero ya bajaji barabara kuu

    Ni ajabu Sana kwa Jiji kuwa na barabara moja ya kuchangia nyembamba tena ya zamani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

    Chawa ni parasite, anaishi kwa kificho. Hebu jaribu kufikirisha akili, tafuteni jina lingine. Naamini chama kina watu smart..
  5. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kuanzisha Mamlaka yake ya Mapato (Zanzibar Revenue Authority)

    Bado sarafu yenu pia!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kuna Uwezekano Ndege ya Mizigo iliyotua KIA haikuondoka tupu

    Comments za aina hii....
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwaheri utumishi wa Umma

    Komaa...Hilo nalo litapita[emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom