Recent content by menauru

  1. M

    Mbunge wa CCM akutwa na bunduki 11 zinazosadikiwa kutumika kwa ujangili

    Asakwe tena badala ya kukamatwa?
  2. M

    Shirikisho la wafanyakazi Tanzania (TUCTA) la sasa livunjwe

    Njaa mbaya, wanaogopa watatemwa sasa watakula wapi na hali yenyewe ndio hivo
  3. M

    Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

    Bora wafanye hivo maana kuna vitaasisi vinajipangia mishahara wakati kazi hata hakuna kazi wanayofanya ambayo ni kubwa kuzidi wengine, pia itaondoa jeuri
  4. M

    My Observation

    Tatizo hasa ni nn
  5. M

    NECTA wapigwa chenga watumishi wagoma kuwasilisha vyeti wadai walioajiriwa na cheti cha std 7

    Duh kwa std7 itakuwa ni Wale wazee wa kustaafu lakini hawa current lazima watakuwa na vyeti sema labda wale walioghushi, aise safari hii iko kazi duh
  6. M

    Watanzania tu wavivu mno!

    Wanasubiri serikali iwashike mikono kwa kuwaajiri haha, mtanzania zinduka dunia ya leo imebadilika sio ya kulaza damu usubiri utafuniwe
  7. M

    Scorpion ni mtaratibu sana, ni kiongozi wa dini

    Mtu wa dini wakati ni mtoboa macho wapi na wapi
  8. M

    Mwenyekiti aswekwa ndani baada ya kuuliza swali kwenye mkutano wa RC

    Duh hiyo habari ina ukakasi lazima kutakuwa na kosa zaidi ya mkono duh
  9. M

    Kama UDART wameshindwa kundesha Mradi wawaachie wengine

    Ni kweli bado ni kero, unakaa kituoni karibu saa nzima hadi kero, inabidi wabadilike asee
Back
Top Bottom