Unafikiria/unamchukulia Mwenye Mungu na kama binadamu!
Kama wq mwanzo wetu katka kuumbwa (Adam) na wa mwisho wetu tutamuomba kwa wakati mmoja maombi (mahitaji) ya idadi ya wingi wetu basi jua kuwa Mwenyezi Mungu atatusikia sote na akitaka atatujibu sote na hatopungukiwa na chochote ktk ufalme wake!
Serikali iliweka Kambi kama Wajimbizi hapo Sababa kila aliyeokotwa popote au alikosa makazi alipelekwa hapo.
Bint tulimpata akiwa hata hana wasi wasi, yupo kama yupo vile, ana godoro lake, blanket na upande wa kitenge.
Tukambeba godoro tukamuachia ambae hana, blanket tunayo hadi leo tunaitunza...
Mm si mwandishi nzuri lkn ningetiririka vilivyo. Kwa kifupi nilikuwa naishi Goms kipindi hicho, na nilipotelewa na binti yangu wa miaka 7 akapatikana Viwanja vya Sabasaba baada ya siku 3. Namshukuru muumba alikuwa mzima kitu ambacho hatukukitegemea kabisaa!
Wazazi ni kitu chengine hapa ulimwenguni na hakuna mbadala wake. Uliwakosea. Mzazi hapigwi.
Tumia mbinu zote ikiwa ni pamoja na KUOMBA lakini wakusamehe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.