Recent content by melson

  1. M

    Baraza la Maaskofu KKKT lamtenga Askofu Malasusa

    Sehemu ya msingi Wa kanisa ni maadili. Hakupaswa kuwasaliti maaskofu wenzake. Sisi kama waumini tuna umia pake kanisa linapo vulugwa. Askofu Malasusa ili kupunguza maneno mengi kutoka kwa watu wa Mungu malizana na maaskofu wenzako. Na pengine tusijue jambo hili lilivyo isha. Asante sana damu ya...
  2. M

    Changamoto za usafiri Temboni kuelekea Saranga

    Hali ya usafiri kwa barabara kuu ya Morogoro yaani kuelekea Saranga kuanzia TEMBON nyakati za jioni au wakati wa mvua,ni shida na usumbufu mkubwa sana. Usafiri mkuu kwa kipande hiki cha km nne hivi ni NOA na bajaji. Na nauli kwa baraka za usalama barabarani kwa kushirikiana na serikali ya mtaa...
  3. M

    Kwa ujenzi CHUMA.

    Tuna husika na ujenzi wa chuma,hivyo kwa yeyote mwenye kuhitaji fundi mwenye utaalamu na uzoefu na ujuzi tutafute tukujengee (steelfixer) kwa RAMAN yoyote na popote nchini Tanzania. Piga namba 0655264625
  4. M

    Kifesi kaacha au kaachishwa?

  5. M

    Spika Job Ndugai arejea nyumbani toka kwenye matibabu India

    Ukweli ni bora apumzike amwache naibu spika ili kulinda Afya.
  6. M

    Msemaji wa Serikali: Nimeulizwa kuhusu matamko, hatuoni cha kujibu zaidi kuwatakia Pasaka njema

    Ni Aman tu,, hakuna sehemu ya tamko linalo mkashifu rais Magufuli, ila wapumbavu wanaleta lugha isiyo faa kwa Watanzania, tumpinge na tumkatae. Hii ni Pasaka. Hongera msemaji wa serikali.
  7. M

    Philipo Mwakibinga wa WARAMI awajibu maaskofu wa KKKT; adai wanatumiwa na CHADEMA

    Huu si waraka wa kuikosoa serikali bali ni ujumbe wa Pasaka kwa waumini wa kanisa la Kilutheri na umesomwa leo katika ibada juma la mitende.
  8. M

    Ajali Mkuranga: Watu 24 wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya hiace kugongana na lori

    Hiace idadi ya abiria ni 16.18 wametoka wapi? Mbona hatuwi wepesi kujielewa, je ktk hila polisi nao walaumiwe? Abiria kwa macho yako unaweza kujiongeza, ni hatari sana. Polisi msilaumiwe ktk hili. Ni uzembe wa dereva wote wawili. Mungu tusaidie ili macho yetu yatiwe nuru
  9. M

    Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Mungu mwenyewe ndiye anahusika na maisha ya kila kiumbe. Maaskofu Mungu awabariki sana sana. Ni ujumbe mzuri sana kila mmoja ameupenda. Kwa moyo mmoja kama Taifa na serikali kwa ujumla wake wameupokea na kwa hekima iliyojaa katika ujumbe huu kila mmoja atainuka bila kujali itikadi za kisiasa au...
  10. M

    Askofu Bagonza: Hoja hufungwa kwa hoja, si kwa kifungo wala mahabusu

    Kiongozi yeyote wa dini mwenye hadhi ya uchungaji ama mapadri, kiongozi wa serikali uwe makini kwa matamko yao. Ni viongozi wenye macho makali ama kuona mbali kuliko wanasiasa. Mkapa juzi ametoa maoni yake kama raia, huko Moshi MCh ametoa hoja zake halafu anaitwa kuhojiwa, badala ya serikali...
  11. M

    Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

    Ni mtakatifu wa Mungu ni binadamu kama wengine lakini yeye ana kibali maalum toka kwa Mungu Hakuna wa kutengua ya Mungu mwenyewe kwa damu ya Yesu Kristo.
  12. M

    Tanesco. Umma uelezwe kwa nini umeme kukatika.

    Uchumi wa viwanda na kujitegemea kama nchi huenda tusifanikiwe na shetani wetu ni Tanesco. Shirika hili ni mali yetu lakini katika hili la kukatika umeme picha si nzuri kwa uchumi wa nchi yetu. Muda unasonga uchaguzi mkuu kufanyika, ajenda ya uchumi wa viwanda itakuwa wapi? Msimu huu wa mvua...
  13. M

    Habari kwenu mafundi ujenzi

    Nitafute 0655264625
  14. M

    Pata mkopo wa gari lipia ndani ya miaka miwili

    Mko wapi na namba za simu ziko wapi
  15. M

    Nchi ya Misri umeme haujawahi kukatika miaka mia moja iliyopita.

    Tanzania nchi yangu. Mungu atusaidie ili nia ya dhati katika uzalendo uwepo. Na kuna uwezekano mkubwa kuwa uongozi wa mwl Nyerere malengo yake haijatimia inavyotakiwa. Rais wetu anaka hiyo nia lakini wachache bado wapo wana mzunguka, na huenda asifanikiwe kwa hao wachache. Mkumbuke anae leta...
Back
Top Bottom