Recent content by MelRose15

  1. M

    Matokeo ya Jimbo la Bumbuli yana Utata

    January makamba, unaipeleka nchi kwenye giza nene kwa ajili ya tamaa zako kuwa waziri mkuu. Hatima yako na mkwere itakuwa the hegue soon!
  2. M

    GE2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

    Technically ukifuta matokeo ya uchaguzi Zanzibar ina maana umefuta na kura za raisi wa muungano. Kwa maana hiyo hata uchaguzi na matokeo bara ni batili.
  3. M

    Taarifa kwa umma kutoka CCM : Wazungumzia Kuhusu Mdahalo na Utafiti wa Twaweza

    Kwa kawaida au most of the time, mgombea ambaye anaonekana kushindwa ndo huwa anaomba midahalo, ili kuwabadilisha mawazo wapiga kura waliokwisha fanya maamuzi au undecided ambao bado hawajaamua. Sasa inakuwaje ccm wanadai watashinda kwa 65-69% ndio wanataka mdahalo? Hii haingii akilini kabisa...
  4. M

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Ngoja nichukue nafasi hii kuuliza au kusema yafuatayo; JM anadai ccm itashinda kwa 67.3% kulingana na tathmini zilizofanywa na independent entity waliyoiomba au kuitafuta wao kuja kufanya hiyo tathmini, maswali ni haya;- kwanza private au independent entity haiombwi au kuletwa kufanya utafiti...
  5. M

    Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

    Swahili: Kinana mbona kasahau kusema kuwa yeye ndo kampeni meneja wa mgombea wa ccm? Kwanini watu wamuamini kwenye hii habari? Kulikoni? NA kwanini hii habari aitoe sasa? Alikuwa wapi siku zote. Wamarekani sio wajinga kiasi hicho kuunngana na upande wowote ktk chaguzi za nchi nyingine. Swali...
  6. M

    Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

    Kinana forget to mention that his now serving as campaign manager for ccm candidate ( magufuli) why should people trust him with this article? American are not foolish as such to take sides into a foreign election. The main question remain to be asked is why now? Why involve Lowassa? Given the...
  7. M

    Kikwete and CO: Njia ya kufikishwa ICC ni fupi

    Matusi ya nini sasa? Be civilized. Jibu hoja sio matusi kwani inaonyesha jinsi gani ulivyoathirika na ukosefu wa elimu ya msingi kabisa. Nashauri watu kama hawa ni kupiga ban ktk forum.
  8. M

    Polisi wazuia ziara ya Edward Lowassa, Kariakoo. Wapiga marufuku mgombea kupanda daladala

    Kila nchi inataratibu zake za kutengeneza sheria za nchi, ni muhimu sana kutofautisha haya matamko ya polisi na sheria za nchi Kama zilivyo kwenye katiba ya nchi au sheria za miji. Ili tamko liwe sheria, ni lazima lipite ktk mlolongo wa hatua fulanifulani. Kwanza, iwe BIll au pendekezo yaani...
  9. M

    Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

    You're such a dumb dude I never heard before! Mdahalo ni njia mojawapo ya kufikia wapiga kura wengi bure bila kulipia muda ktk television, kwa kunadi sera na kujitofautisha na wagombea wengine. Wewe kwa akili yako finyu unaona sio level yake? What level is Lowasa? Make watanzania hatuchaguI...
  10. M

    Wataalam kutoka chama cha CPU China na FRELIMO Msumbiji watua Lumumba

    Sijuhi Kama sheria za uchaguzi zinaruhusu watu wa taifa lingine kuingilia siasa za ndani ya nchi yetu hasa ktk kipindi cha uchaguzi. Wadau hii imekaaje?
  11. M

    Zitto: ACT Hatutaki Anasa, Usafiri Wetu Treni!

    Nakubaliana na wewe, ukiangalia historia ya dunia ni kwamba watu hufanya mabadiliko ktk maisha na mazingira wanayoishi kuangalia the past! Yaani kwa kimombo wanasema"The past predict the Future " Ktk historia ya Tanzania, ujamaa ni the Past ambayo ilifeli kuwakomboa wananchi Kiuchumi, elimu...
  12. M

    DR. W. Slaa: A sensational keynote Speech at Purdue University, Indiana State, USA

    This is one of the thoughtful speech given with any of the Tanzania opposition party leader,perhaps one of the best speech given with any of our modern leaders from Tanzania. It's well drafted and brilliantly delivered. I don't want to sound bias given the politics atmosphere in the country...
  13. M

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    UJAMAA FAILED.....ninakubaliana NA wewe hapo juu brother, Ndio maana Tanzania iko hapa tulipo. Ni jambo la kutoamini kama mtu bado anakuja ktk 21st century kuhubiri siasa ya ujamaa iliyofeli, sio hapa kwetu tu bali hata na nchi zingine zilizojaribu kuifuata. Where is Cuba? where is socialists...
  14. M

    CCM, Mnajifunza nini kwa chama tawala Nigeria kuanguka Vibaya katika uchaguzi?

    Hii ndo habari ya Nigeria kutoka ktk magazeti ya IRISH TIMES.......... Nigerian elections: Buhari takes the leadResults in from over half of Nigeria’s states show contender leading by 2 million votes With results in from just over half of Nigeria’s 36 states plus the capital, the challenger, a...
  15. M

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    11.2 MAPENDEKEZO YETU: Sheria iweke wazi kuwa mahakama ya kadhi itagharimiwa na Serikali sawa na zinavyogharimiwa mahakama Kwa akili ya mtanzania wa kawaida ni jambo la kushangaza sana krona tumefikia hapa. Ni masikitiko yangu makubwa kuona serikali ambayo imewekwa madarakani na watanzania...
Back
Top Bottom