Aisee ndugu yangu chuoni alikoomba kuhamia hadi leo asubuhi wamemjibu kuwahawajapata bado majibu ya approval kutoka TCU, so bado ni kizungumkuti tu hadi sasa, hajui itakuaje na hata hajapewa namba ya usajili anaambiwa hadi approval kutoka TCU itolewe!!
Kuna yeyote jamani ameshapata majibu kuhusiana transfer zilizoruhusiwa na TCU? maana Calendar ya TCU inaonyesha majibu yalikuwa yatolewe December 7 na leo ni December 12 kimya kbs
Pole ndugu kwa fikra potofu ambayo wengi mnayo, hata mimi nlkua na fikra kama wewe, na bht nzuri nimesoma mfumo tuliuozeawa kukaa campus chuoni, lkn then sasa nmekuja kugundua kile nlichokua nakipata kule tulikozoea na OUT ni sawa tu,na umahiri wa graduate hauko determined na Chuo, ila na...
Mleta mada kama uko serious kweli nenda tu kasome OUT, pale ni kuku wa kienyeji, lazima ukomae upige msuli, hakuna kulishwa kama huku tunakokaa venue kupigwa lectures.
lakini pia kuna mtu kasema unaweza fanya ICT kwenye center yoyote ya OUT, ni kweli nmefuatilia unakua registered ktk any center...
Hongera sana kwa kuchaguliwa ,lakini pole sana kwa kukosa mkopo.
1. Katika changamoto zako sijui huko IRDP hawana hostels hadi uone changamoto kwako kusoma hapo? Kama wanazo inakuaje iwe changamoto kwako?
2. Kwa uzoefu wangu mdogo kwa first year ambae hata hajaanza masomo kufanya transfer wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.