Aliyekutumia hiyo video lazima kuna jambo lunamuumiza labda kwa kumkosa huyo binti au whatever.. sidhani kama ana nia njema kwako..au unadhani anakupenda sana haki akupe taarifa?
Hata kama ni yeye huna haja kufukunyua lengo hapa ni kumpa ushauri kama unao. Hakuna aliyemkamilifu mbele za Mungu, wote tuna dhambi. Ni wangapi umewapa mimba ukijua au bila kujua wakatoa? Acheni kumtupia mawe kama huna cha kumsaidia ni bora ukae kimya. Maana kitendo cha kuandika hapa tena kwa...
Insider ameendekeza sana wanawake, na amemsahau mke wake kwa 85%. Kitendo cha kutoka Ethiopia na kwenda tena kwa Ghati ni wazi hujali tena uwepo wa mke wako. Na sio lazima kila mwanamke umfunue..dah, kama wanaume wote wapo hivi ni balaa..na mbaya zaidi hawazi magonjwa wala mimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.