Hakuna mgeni yeyote aliekuja kuua watu.. ni propaganda tu ili wasionekane wao ndio wauaji.. maana tunaishi nao mitaani.
Hivyo wametengeneza mbinu ya kujisafisha kusingizia wageni
Sizani kama Tanzania tuna ujanja wa kuwazimia internet mabalozi wa nchi ambazo zimeitengeneza hiyo internet yenyewe.
Sisi tunaweza kuzimiana wenyewe kwa wenyewe.
Tusidanganyane, Degree za udsm hazina uwezo wa kumzimia balozi internet
Mtoa mada ni muongo..
Watu 15,000 ndio idadi ya wafanyakazi wote walioshiriki kulijenga hilo bwawa. Na uhalisia karibu wote walimaliza kazi wakiwa hai.
Watu waliofariki kazini hawafika hata 100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.