Recent content by MELEKAHE

  1. M

    Hili la kuingiza wageni kuja kutuua kamwe halitosameheka

    Hakuna mgeni yeyote aliekuja kuua watu.. ni propaganda tu ili wasionekane wao ndio wauaji.. maana tunaishi nao mitaani. Hivyo wametengeneza mbinu ya kujisafisha kusingizia wageni
  2. M

    GE2025 Sheikh Sharif Majini afariki dunia kwa kupigwa risasi siku ya uchaguzi

    Kama kweli ni kada wa chama cha wauaji.. alale salama
  3. M

    GE2025 Je, rais mteule Samia Hassan akishaapishwa amejipanga vipi kuongea na mabalozi wa nchi za magharibi ambao aliwakatia mawasiliano Jumatano iliyopita?

    Sizani kama Tanzania tuna ujanja wa kuwazimia internet mabalozi wa nchi ambazo zimeitengeneza hiyo internet yenyewe. Sisi tunaweza kuzimiana wenyewe kwa wenyewe. Tusidanganyane, Degree za udsm hazina uwezo wa kumzimia balozi internet
  4. M

    China & Ethiopia imetaja idadi ya watu waliofariki wakati wa Ujenzi wa bwawa la Umeme & reli ya Tazara. Mbona Tanzania hatutaji?

    Mtoa mada ni muongo.. Watu 15,000 ndio idadi ya wafanyakazi wote walioshiriki kulijenga hilo bwawa. Na uhalisia karibu wote walimaliza kazi wakiwa hai. Watu waliofariki kazini hawafika hata 100
  5. M

    Takwimu: Tanzania kuna waislamu Milioni 22 tu sawa na asilimia 34.01% ya idadi ya watu wote, halafu ukiwaambia wanakataa wanasema wako wengi

    Sio tu Tanzania. Hata Nigeria wamefuta kipengele cha dini kwenye sensa yao. Mambo ya dini na kabila hayatakiwi kuwepo kwenye sensa maana yanaleta vita
  6. M

    Jirani yangu kanunua gari kali kwa biashara ya kuunganisha wachumba hewa instagram. Wadada wanalipia hela instagram ili watafutiwe wachumba wenye hela

    Hapo hajatoboa mtumbwi. Maana hajamtaja jina. Page za kuunganisha wachumba zipo zaidi ya 100 instagram. Hivyo hakuna anaejua page ya tapeli ni ipi
  7. M

    Jirani yangu kanunua gari kali kwa biashara ya kuunganisha wachumba hewa instagram. Wadada wanalipia hela instagram ili watafutiwe wachumba wenye hela

    Hapo unakuta mpaka hao boda boda wanaochatisha wadada.. wamenunua piki piki zao kwa malipo ya huyo mjanja mwenye page
Back
Top Bottom