Recent content by Melanny

  1. Melanny

    Naomba kujuzwa Bima ya bei nafuu kwa mtoto

    Habari wapendwa naomba orodha ya bima ambazo ni nzuri na nafuu kwa mtoto mwenye umri wa miaka mi tano (5)
  2. Melanny

    Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

    Itakuwa hujampenda tu. Ukipenda mnaependana. Anaweza kutoa haja kubwa mbele yako na ukavumilia harufu
  3. Melanny

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Mara nyingi post a nikiagiza huwa nalipishwa ushuru.sijui Hui imekaaje.au ukiwa na sanduku LA post a LA kwako.utakuwa hulipishwi??
  4. Melanny

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Ndio kaka.walinichangia na namshukuru MUNGU kupitia mtaji huohuo ndo naendelea Nao[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]..
  5. Melanny

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Inaendelea vizuri namshukuru MUNGU. Ila sip manukato..
  6. Melanny

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Yaaani huu Uzi natamani niufanyie lamination. Mwanangu akue akiusoma kila Siku. Kuna MTU Natamani asome ili asipotee mazima, baada ya kupata Pesa kiburi kimemjaaa na list ya mademu Kama zote.
Back
Top Bottom