Habari ndugu zangu!
Naomba kuwakilisha malalamiko kwa serikali kuangalia upya eneo linalozunguka uwanja wa mpira ambao ni mali ya serikali pia lipo chini ya halmashauri ya jiji la Mbeya.
Uwanja huu ni mkongwe sana jijini Mbeya. Umetumiwa na timu kubwa kama yanga, simba wakija Mbeya kama kambi...
Serikali tunaomba mzuie Carrot zinazotoka Kenya. Carrot hizi zinamuumiza sana mkulima.
Ni kama kumpambanisha mkulima wa Tz na Kenya kwenye soko tena la nyumbani.
Wakulima wengi wa nyumbani sio wakubwa na sio wa kulima maeneo makubwa.
Mtu anayelima robo acre na mtu anayelima acre hamsini...
Hii app ni moja ya app nzuri ambayo hakikisha unayo kwenye simu. Ipo playstore. Kama unataka maelekezo zaidi usisite kuuliza.
https://app.getlee.co/r/b2350dbd39
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.