Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni,
ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima.
Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
Jamaa mmoja nchini Kenya sikukuu ya Christmas imemjia vizuri baada ya kushinda na mkeka wake kwenye kampuni ya Sport Pesa.
Jamaa mwenyewe jina lake ni Peter Byegon ni mfanyakazi wa hotel moja huko Nairobi ameshinda baada ya kupatia tabiri 16 kati ya 17 na kumpa ushindi wa kiasi cha Tsh...
KAKA KAMA KWELI MUNGU YUPO BASI AKUBARIKI KAMA KWELI ANATOA BARAKA.
ILA PIA KIKUBWA KATIKA MAISHA YANGU NI KAZI.
MAANA MPAKA NAWAZA HAYA NIKWAMBA MM HUWA SIPENDI KUTEGEMEA CHA MTU AU NDUGU.
UBARIKIWE KAKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.