Wawekezaji wengi wanaokuja kuwekeza Tanzania,wanashindwa kulipa fidia kwa hathari mbalimbali zinazotokana na uwekezaji wao na hii ni kwa sababu ya mfumo mbaya wa serikali ya mapinduzi!,mfano wakazi wa Wilaya ya MULEBA tarafa ya IZIGO mkoani KAGERA,wamekuwa wakipata shida sana kwa uwekezaji...