Recent content by medyzo

  1. medyzo

    St Agustino University of Tanzania(SAUT).

    Haaaahaaaa... maraaa pap anaaaingiaa kwenyeee mtegoo wa Mbwembwee za mnyama Dassu [emoji23] lazmaaa Atubuuuu. Haitoshiiiii Anafanyiwaa figisuu kadiii yake ya Ecco Water inaaagoma kufanyaa kaziiii[emoji23]
  2. medyzo

    Nauza simu HTC_M8 . Nipo Mwanza

    NAUZA TSH 320000 Cm ipooo poaaa Bado mpyaaa Inaaaa 32GB Battery Long Last Camera QUALITY BOOM SOUND Kwa mawasiliano 0757645436
  3. medyzo

    Kuna yeyote katumiwa joining instructions ya chuo alichopangiwa?

    Mkuu mi nadhani Unata kiwaa kuingia katika web ya chuo husika . pale ndio utakutana na Attachment za joining instruction na medical report form na vinginevi vinavoitajika kwa mwaka husika. then ndio uta download. SIJUI KAMA UMENIELEWAA MKUU?
  4. medyzo

    Kuna yeyote katumiwa joining instructions ya chuo alichopangiwa?

    Ndioooo mkuuu , mimi nina nduguyangu. leo kapigiwa simu na Chuo cha Water Development and Sanitation Engering
  5. medyzo

    Msaada kwa anayeijua program ya Bachelor of Information Technology ya NIT

    thanx .... ilaa shidaaaa yangu nikujuaaa. hiyooo CACULTY inahusiana na mambo gani !? ugumu wakee na ajilaaa zakee vip.!?
  6. medyzo

    Msaada kwa anayeijua program ya Bachelor of Information Technology ya NIT

    Naombeni msaada kwa anayeijuaa faculty ya Bachelor of Information Technology ( BIT ) inayofundishwa chuo cha NIT. Nawasilisha...
  7. medyzo

    Kwa hili tukio la leo, ITV wasiachwe hivi hivi, wachukuliwe hatua za kisheria

    Naimani wew ni msomi 📚na sina shaka kuwaa Elimuyakoo haijakukomboaaa...🙇🏻 kwani hunaa hata certificate ya sheriaaa.... kwani umeonaa kama kunahata mwanasheria 1 aliyeleta shobo kama wew?,? bas wachukuliee hatuaa wew kwenye mahakamaaa yenu! 👌 Fikiri kabla...
  8. medyzo

    Kujiunga na Kidato cha tano 2014/2015

    HAYA NDO MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2014/2015 ------------------------------------------------------ Wasichana Wote ====> herufi A mpaka Z http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf Wavulana ===> Herufi A mpaka L...
  9. medyzo

    Selection Kidato cha Tano 2014/2015: Majina yote haya hapa

    HAYA NDO MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2014/2015 ------------------------------------------------------ Wasichana Wote ====> herufi A mpaka Z http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf Wavulana ===> Herufi A mpaka L...
  10. medyzo

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    Hapa ni kwa masaa ya kawaida nyumbani east Africa....fahamu muda gani timu uipendayo itashuka Dimbani Hapa ni kwa masaa ya kawaida nyumbani east Africa....fahamu muda gani timu uipendayo itashuka dimbani Group A Group B Group C Group D Group E Group F Group G Group H Brazil Spain Colombia...
  11. medyzo

    Happy Birthday Vodacom> Kesho kila mmoja atapata 1GB Bureee ! Vodacom Kazi ni kwako !

    Asante sana kaka kwa kutueleweshaaa , kwa hiyo hapa inaonyesha hawa perfect vision wapo ki Maslahi zaidi. Jamaniiiiiiiii vip.......!? Mbonaaa inagomaaaaaaa
  12. medyzo

    Ukiwa na "d" 3 unaendelea na a-level??

    Sasa ndio nilikuwa nataka uhakika maanake ni Ajabu D 3....!
  13. medyzo

    Ukiwa na "d" 3 unaendelea na a-level??

    Muda siyo mrefu nimeona Tangazo la Shule ya PERFECT VIRSION wakiangaza kuwa Eti ukiwa na 'D' 3 unaendelea na Kidato cha 5 . Hiyo nikutokana na Taarifa za mabadiliko katika Wizara ya Elimu. SASA SIJUI KAMA KUNAUKWELI WOWOTE KUHUSU HILO..???
  14. medyzo

    Ukiwa na "d" 3 unaendelea na a-level??

    Muda siyo mrefu nimeona Tangazo la Shule ya PERFECT VIRSION wakiangaza kuwa Eti ukiwa na 'D' 3 unaendelea na Kidato cha 5 . Hiyo nikutokana na Taarifa za mabadiliko katika Wizara ya Elimu. SASA SIJUI KAMA KUNAUKWELI WOWOTE KUHUSU HILO..???
  15. medyzo

    Msaada wa HGE- Advance

    Asante kwa ushaur, lakin unaweza kuniambia ni kwanin umenishaur nisome HGK.....!?
Back
Top Bottom