KITU CHA MSINGI AMBACHO BADO NI KIGENI KWETU.
Habari za wakati huu watanzania hasa wadau wa maendeleo na technolojia.
Kuna kitu kidogo napenda kuwafahamisha.
Katika sekta ya viwanda hasa katika upande wa wataalamu wa mitambo.Marine Engineers ni wafanyakazi bora kabisa kwa kazi yako. Kwa nini...
Habari za wakati huu home of great thinker .Najua humu wapo wadau wengi tu wa elimu ya juu. Nataka niwakumbushe kitu bodi ya mikopo kuhusu chuo cha Bahari DMI.
Chuo cha DMI ni moja kati ya vyuo vikubwa katika kutoa maritime education...
Acha presha mdogo wangu.kila kitu kina utaratibu wake.unavyosema arts hawapewi mkopo mbona kwenye ile list kuna watu wa education art na sheria.kuna watoto maskini wengi tu.Isitoshe umeambiwa hiyo ni awamu ya kwanza sasa uvunje sheria za nchi ili iweje.Usipaniki mwaka huu watu wote waliokidhi...
Habari za muda wakuu.
Naomba kujuzwa kama naweza kupata privet hostel maeneo ya Kigamboni, utaratibu wa kupata upoje, vyumba vina ukubwa gani na ni gharama kiasi gani.
Habari wakuu.
Naomba kupata maelezo angalau ya kunitoa gizani kuhusu hii kozi ya Marine Engeneering ipoje,changamoto zake,uzuri wake,ajira zake na maelezo mengone muhimu.Najua hapa ni home great thinker nitapata majibu.
Unachokisema ni sahihi ila ukisoma vizur maelezo yangu utaelewa nini namaanisha ndo maana nimetangulia kusema mapendekezo yangu ni computer engeneering na telecom.nilichokuwa nakihitaji ni kupata ushauri.Hata ule usemi wa usilolijua......... mbona upo wazi kabisa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.