eti umeme ndo unarudi sahv.duh ! Kweli wao wana mamlala na kuamrisha.siasa za tanzania za kishamba.kama kweli ilikuwa ni hujuma ,mwenyez mungu awahukumu kulingana na uovu wao.
ni dhahiri mwenyezi Mungu anawafungua wananchi uelewa wao ili kupigania maslahi yao kupitia masuala haya yanayofanywa kinyume na haya maccm,hvyo wananch wafunguke na kupinga mambo dhalimu .
mleta mada ufahamu wake ni mdogo sana,suala la bunge kufanyika leo lilijulikana mbona,sheria ilitenguliwa na kuruhusu mjadala ufanyike,rudi kajipange upya,
namuunga mkono tundu lisu mia kwa mia,wananch kuendelea kukipa dhaman chama kilichoshndwa kuboresha elimu,leo mnapewa fursa hyo mnagoma,then apeleke shule za kata,no no,hata mimi sipeleki shule za kata mwanangu,
taifa linaingzwa mkenge na Seth!aibu. Hata kama muhongo kafanya vizuri kwahili baya wajibika ndg,Werema amesema anamlinda maswi,kwann wasielekeze kumwondoa AG?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.