Ninawaza kwamba neno Chawa hapa halijatumika katika dhana ya mdudu. Kama vile kusema mchizi wangu ambavyo kwa mazingira ya kawaida yasiyo rasmi linatumika kama mtu wa karibu mnaeivana.so hapa chawa limetumika kama mtu wangu ambaye ananifeed taarifa fulani.lkn pia ananufaika na uchawa huo.win win...
Mi nashauri tu watz wenzangu kuepukana na matumizi ya madawa ya kulevya na biashara ya madawa haya na kemikali bashirifu (Precursors)
Maana DCEA wamejipanga kisawasawa.na adhqbu zao hazibebeki kabisa. Mfano hao jamaa waliopatikana na kosa la uhalifu uliovuka mipaka automatically wana adhabu ya...
Pesa au Mali ya watu lazima nirudishe.
Niwape ushuhuda wangu.
Miaka kama miwili nyuma nilipokea muamala kutoka Safaricom kama laki na vipoint.
Nilimtafuta aliyetuma bila mafanikio na hapo nimenunua Bando la kimataifa 5000tsh kama dk 5 na meseji chini ya 12.
Niliwasiliana na Safaricom na Vodacom...
Kwahiyo siku hizi kunguni wanakula viporo?
nadhani mkurugenzi anachotaka kutuambia hapa ni kwamba nje ya kunguni na mende wamo wa kutosha.
majibu mepesi kwa hoja za msingi yanaibua hoja nzito.
Ibada ni kitu chema sana.ila kuna haja ya hizi nyumba za ibada kuweka utaratibu ufaao.usiku ibada ilenge waliomo mahala husika tu.kama ni fajir basi tukijiwekea utaratibu kuwa saa 11 ni ibada basi tutumie alarm kutuamsha.mbona tunawahi kazini bila kengele ya kazini? Mambo ya Mungu ndo...
Mushi kuna namna utetezi wako kwa uli choandika unaangukia kuwa chuki binafsi na si ukosoaji wenye lengo la kuleta uchanya.
lile ni darasa huru.mwenye talanta kamili kamwe hawezi kuificha,haizuiliki na haogopi maana kuna msukumo wa ndani.
tunajifunza uzalendo,utaifa , uwajibikaji,uongozi na...
viongozi wa CAF wanafanya kila jambo kuwarizisha wazungu.
ukihoji sana watakuambia waafrika muitikio wa kuchanja ni mdogo. Hivyo inabidi wanyimwe uhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.