Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Mkuu
Mimi sijawahi sikia basata wamefanya kazi nyingine zaid ya kufungia wasanii
Wao ni kufungia wasanii tu ndo kazi walio bakisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu basata ni wapumbafu sana ambao hawajielewi hata kidogoBeira Boy,
Umeongea point sababu kwa hii system mbovu ya mziki wa bongo fleva,miaka ijayo itazalisha akina dudubaya wengi.
Mimi sijawahi sikia basata wamefanya kazi nyingine zaid ya kufungia wasanii
Wao ni kufungia wasanii tu ndo kazi walio bakisha
Sent using Jamii Forums mobile app