Hadi sasa hakuna aliyethubutu kujibu, wanarukaruka tu na kuleta uoga waliopandikizwa na vitabu vilivyoandaliza na watu wa magharibi na mashariki ya kati.
Nami nimerudi hapa.
Wanaoamini wanasema mungu hujua nini tunachowaza na nini kitatokea. Kama alimuumba ibilisi ina maana alijua ibilisi atakuwa shetani, sasa kwanini alimuumba huyo ibilisi wakati kabisa alijua atakuwa shetani?
Wakuu nashukuru sana kwa maoni yenu na ushauri mlionipa nimejifunza mengi. Nimegundua hili ni tatizo japokuwa wanaume wengi wapo hivi lakini ukweli ni tatizo ndomana hata wanaume wenzangu wameniambia nna tatizo.
Kupitia maoni na ushauri wenu najiona mkosaji na kuanzia sasa naanza hatua za...
Wewe njoo miji ya dhahabu uone matusi yani unaongelea mark x, subaru, alteza eti na vitz unahesabu gari. Huku hayo ni magari ya vijana wadogo ambao hawajashika dhahabu sawasawa. Unaawajua makota wewe?
Mi nilitegemea uniambie lifti za Ferrari, Lamborghini, Chevrolet, GMC au Cadilarc. Wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.