Kuna mwalimu wa siasa aliniambia siasa inaa mfumo wa kushambulia na kuzuia na ndio maana lowasa CDM walishindwa kuzuia wakiulizwa huyo si fisad?wao wanashambulia tu sasa ukirud nyuma clip zipo zao wenyew wakitaka fisad ashtakiwe
nilijiuliza sana kwanni wakorea na wachina wanaumoja ktk mataifa yao kwanza wazalendo .anatokea mtu anasema nyie wtz mnaibiwa wanatoka wapumbavu wanasema mwache aibe tu
vp ishu ya njaa imekwisha?cvyeti feki? cluosz?waziri wa michezo?bastora?ney wapo?uchaguzi wa wabunge east africa?tindulisu kuwa rahisi?mchanga na rangerovermitumba ?sasa hivii nani vile bendera fata upepo tuuuuuuuu
that gud so kwa tanzania sidhan kama kiingerza kinapatikana mtaani bila kusoma aidha somo husika au kwa mfano hesabu .sayans.dr.enginia .lazima itumike lugha ya kiingereza .hoja ya msingi humu ndani nani anajua elimu ya makonda na ngwajima?
taizo moja naliona kuna kukabidhiwa chama kwa mfumo wa kijiti yaa kura alafu kuna kurithishwa chama kutoka kwa mwenyechama kwa mfano kati ya sefu na lipumba nani karithishwa chama lakini lzma tujue ni nani alikuwa katika mchakato wa mbowe kupewa uenyekiti ?hakuna uliona wapi uchaguzi upo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.