Recent content by Mdusi94

  1. M

    Ni kwanini wakati huu serikali ya Iran imelazimika kupandisha mishahara ghafla kwa asilimia 60% ?

    Gaza wana silaha ila wairan hawakuwa wanashambulia watu mwanzon mwa maandamano
  2. M

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    baada ya kufuria kisiasa , anatafuta njia ya kurudi tena kweny siasa ila hajui kuwa wenzio ndo walez wa hao mashoga
  3. M

    Mpaka sasa Marekani hajaonyesha silaha yoyote mpya katika vita yake na Iran

    China na India ndo wategemez wakubwa wa hayo mafuta
  4. M

    Pakistan, India wana silaha za nyuklia kwanini Iran ikatazwe?

    je Pakistan na India wana miliki makundi ya kihuni kweny nchi jiran kama houth , Hizbollah , Hamas , IRGC? Weka ushabiki pemben
  5. M

    Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Moro town to Mlimba mjini
  6. M

    Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    ina 284km bado haijafikia Moro-Malinyi 288km Moro-Mlimba 299km
  7. M

    Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Songea to Tunduru ni ~265Km Moro town to Malinyi ni ~288km Moro town to Mlimba ni ~ 299km Labda wakiweka lami japo bado route za Moro zinaongoza kwa umbali
  8. M

    Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Romb mpk Moshi mjin ni masaa 3 Moshi mjini mpk kibosho haizid masaa 3 jumla kwa makadirio ni masaa 6 watu wanazungumzia route unatoka mjin asubui unafika huko usiku kuwa serious 😀😀
  9. M

    Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

    kuna habar ilisema USA walianza hamisha wanajeshi wao mwez january
Back
Top Bottom