Recent content by Mdusi94

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    ccm wanatuingiza pabaya
  2. M

    JamiiForums Tanzania Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    maelezo yote hayo yana mfano hata mmoja?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    maelezo mengi hayana mifano Hata mim naeza sema nmefanya mirad ming sana
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wanasayansi wa Hali ya Hewa Waonya kwamba EL-Nino Itakayotokea Mwaka Huu Itakuwa Mbaya kuliko Zote Zilizowahi Tokea hapa Duniani

    hii post itawafanya watu wasilime kisha itatokea artificial El Nino iliyochombezwa na hofu ya hiz habari
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Taratibu za kupata Samia Scholarship zipoje? Iweje nipate division ya 1.5 nikose na wenye 1.9 wapate?

    hela inatolewa mfuko gan ? mfuko wa rais au mfuko wa kodi zetu?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Saddam Hussein alikuwa ni Dikteta mwenye faida kwa nchi yake

    ttzo la Iraq , Syria na Libya ni hao hao mnaowasifu maana waliona vita ni nzur kuliko kupisha madarakan ili wananchi wasiteseke Ona sasa upumbav wao unawacost wairaq , wasyria na walibya mpk leo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Senegal: Rais Faye azindua rasmi chama chake kipya, Wanachama wa Sonko sasa wanakimbilia kwa Faye

    akil za mtu mweus ni majanga Aya tupe ushahidi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Senegal: Rais Faye azindua rasmi chama chake kipya, Wanachama wa Sonko sasa wanakimbilia kwa Faye

    wew kuna kitu unachanganya , aliyekuwa jela ni huyo wazir mkuu aliyetolewa na yeye Sonko ndo akaamua kumpa kijiti msaidiz wake Faye agombee urais kisha Faye akashinda na aliposhinda wazir mkuu wake akawa Sonko ila baadae wakatofautiana maana Sonko anaamin hiyo nafas ya urais ni yake na Faye...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Senegal: Rais Faye azindua rasmi chama chake kipya, Wanachama wa Sonko sasa wanakimbilia kwa Faye

    mifumo tumeilea sisi wenyew Uoga mwingi na kutamana kuish kinyonge Wasenegal hawachelew kukiwasha na washapitia hii hatua tyr
  10. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Pelekea Afcon Sudan , si afcon itajitenga na siasa?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Ugaid sio lazima ushike silaha Japo hawa wanaowashika inaezekana wanaonewa tu kisa tofaut za kimitizamo ya kisiasa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia ni kama aibu. Tunaweza kununua V8 ila inakuwaje mpaka mnapewa vifaa vya tehema tena laptop?

    ishu sio wakat wa nan , ccmu wote vilaza , wameshindwa kuendesha nchi
  13. M

    JamiiForums Tanzania 4 July 2026 Cape verde atamfunga Argentina na kumtoa, ila Fainali wataingia France na England na Bingwa wa Fifa World Cup 2026 atakuwa England

    Juz kocha alizingua kuikadilia mechi kwa kuanzisha akina Madueke na Rashford Kashajifunza sasa , labda aendelez kibur kwa Mexico
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania mpaka 2030, itakua na idadi kubwa ya single mothers.

    jitunz ili usiwe single mama , maana inakwambisha uchumwa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nje ya wajaluo kuna makabila maarufu upande wa Tanzania yenye mafanikio makubwa nchi jirani?

    hakuna mkoa kwa sasa umetawaliwa na kabila moja mbali na mikoa ya kanda ya ziwa
Back
Top Bottom