ttzo la Iraq , Syria na Libya ni hao hao mnaowasifu maana waliona vita ni nzur kuliko kupisha madarakan ili wananchi wasiteseke
Ona sasa upumbav wao unawacost wairaq , wasyria na walibya mpk leo
wew kuna kitu unachanganya , aliyekuwa jela ni huyo wazir mkuu aliyetolewa na yeye Sonko ndo akaamua kumpa kijiti msaidiz wake Faye agombee urais kisha Faye akashinda na aliposhinda wazir mkuu wake akawa Sonko ila baadae wakatofautiana maana Sonko anaamin hiyo nafas ya urais ni yake na Faye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.