Thibitisha kama kwel alipakwa matope ? Tuambie kwann Nyerere alifanya yote hayo ? Je Nyerere alilinda nin akiwa madarakan?
Tuepuke kuweka udini ( Uislam na Ukristu ni ushoga tu na mtu unaetumia hz dini kujadili watu bas ww ni ms3ng tu maana bado akil yako imefungwa minyororo)
Nyerere ndo rais...
kizaz cha sasa kimekuwa kivivu sn kutafit kinanendeshwa na ubuyu
Kambona anavuma sn ila hata kujieleza haez , Kambona alikuwa baba wa ufisad
Kama tusingepotoka na tungebakia kweny misingi ya Nyerere tungekuwa superpower kweny huu ukanda mzima
Kwasas rushwa , ufisad , ukiukwaj wa haki za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.