Recent content by Mdundwa

  1. M

    Tangu Chadema ianze kugombea Urais wa JMT Lowassa ndio aliongoza Wabunge wengi, kisha Dr Slaa, Mbowe na mwisho Tundu Lisu

    Nikweli Mgombea wa Urais huwabeba Wabunge na Madiwani pia Lakini 2015 CDM kupata Wabunge wengi, nadhani Sababu kuu ni ule Muunganiko wao Maarufu UKAWA, huu ulichagiza Sana kwa Vile vyama vinne kuunganisha Nguvu hali iliyopelekea kura zao kutogawanyika, Sasa huwezi kulinganisha Chaguzi ya 2015 na...
  2. M

    Diaspora wa U.S.A wanaonekana maisha yamewapiga japo wanaishi U.S.A kwenye katiba bora duniani, nadhani si Kila jambo ni katiba

    Kuishi kwake Marekani hakuondoi Utaifa wake, Na Madai yake Juu ya Haki zake na Watanzania Wengine, Kuhusu Muonekano hiyo sio hoja ya Msingi na tutakuwa tumeishiwa Hoja, tujadili hoja sio Muonekano.
  3. M

    Diaspora wa U.S.A wanaonekana maisha yamewapiga japo wanaishi U.S.A kwenye katiba bora duniani, nadhani si Kila jambo ni katiba

    Ondoka huko kwenye kujadili Maisha ya Mtu, Muonekano wake, Mavazi na Mienendo yake jikite Kujadili hoja zake, Jikite katika kuonyesha kwanini Katiba sio Muhimu sasa na Wao waonyeshe Kwanini Katiba Mpya ni Muhimu sasa, Hoja yenye Nguvu na Ushawish itashinda. Hiyo ndio Mijadala yenye Afya.
  4. M

    Muendelezo wa Masoko Kuungua ni Sahihi kuwa Bado hatujapata Suluhisho?

    Siku za hivi karibuni kumekuwa na Ongezeko na kasi isiyokawaida ya Kuungua kwa Masoko Nchini hasa Nyakati za Usiku Jambo linalozua Maswali mengi zaidi. Sio kwamba kama Nchi ndio tumeanza kupata kuyaona Majanga haya kwa Mara ya Kwanza hapana, yamekwisha kutokea huko Nyuma lakini mtindo ndio...
  5. M

    Bashe: Nilishawahi kushukiwa kama mwewe na hayati Magufuli, Rais Samia ni photocopy ya Magufuli

    Kila Mtu kwenye Dunia ana sura na pande Mbili, yaaani Mazuri lakini pia Mabaya, Bahati Mbaya sana ni wachache tu wanaoweza kumueleza Mtu kwa sura zote Mbili lakini wengi wao huchagua upande wa kuuzungumzia kwa namna anavyoutiwa, kukerwa, Chuki, au upendo wake na huyo anayemzungumzia. Jambo hili...
  6. M

    Nani wapo nyuma ya Polepole? CCM wanamlinda?

    Vyama vya Kisiasa vimewajenga na Kuwaaminisha kuwa yote yasemwayo au kufanywa na Viongozi wa Vyama vyao hawapaswi kuhoji wala kukosoa, Wanachopaswa ni kuitikia tu ndio hata Kama hayako Sawa, ndio ukaja ule Usemi wa Mjumbe Ndio na Zidumu fikra za Mwenyekiti. Bahati Mbaya sana, akitokea Mmoja...
  7. M

    Mbowe kufungwa ni sahihi

    Unaweza kuwa na Hoja lakini ukaiharibu kwa baadhi ya kauli zako, Unawezaje kukiri kuwa unaunga Mkono Mbowe kupewa kesi hata kama ni ya kutengeneza!? Bro unaweza kufurahi leo kwakua huna uhusiano na Mbowe lakini vipi Kama angekuwa Kaka, Mjomba, Baba au Babu yako anayapitia haya unayoyafurahia...
  8. M

    Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

    Kwenye Hili Hapana Ukweli Usemwe, Hii Barabara imejengwa kwa Awamu mbili Sasa Awamu ya Kwanza kwa Fedha za Uhuru zilitumika kufanya upanuzi na kuongeza Njia hadi kufikia 5 na Awamu ya Pili kwa Fedha za Wajapan ndio ilitumika kutengeneza Njia 4, utanuzi na kuacha Space kwa Njia ya Mwendokasi kwa...
  9. M

    Clouds Media: Hatuhusiki na kumshitaki Makonda

    Kesi hii itaunguruma Dec 3, Najiuliza Kubenea hakushirikiana na Clouds kabla!? Vipi Wakati wa kutoa Ushahid kabla si atahitaji Picha na Baadhi ya Mashahidi kutoka Clouds!? Vipi watampatia na ikiwa wamesema hawahusiki (means hawatajihusisha)? Bila Ushirikiano kutoka Clouds Kubenea anashindaje hii...
  10. M

    JamiiForums Usiku wa manane

    Naam Mkuu
  11. M

    January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

    Ni trilioni 2 kwa Mwezi au Trilioni 2 kwa Mwaka?
  12. M

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    Serikali, Familia, Shule, Viongozi wa Kidini na Asasi za Kirai nk hizi zote zikisimama kwenye nafasi zao na Wananchi wote Kwa ujumla kuupungunza na kama si kuusambaratisha kabisa ushoga inawezekana na ni Jambo la mara Moja, haya Mambo hayakuanza yalianzia huko enzini ingawa yalikua yakifanyika...
  13. M

    Haji Manara-Shujaa wangu!!!!

    Kuanza kufikiri ni Wachezaji wangapi ndani ya Stars wanatokea Simba, Yanga, Azam nk, ili kupata uhalali wakina Nani wanaunda Stars utakua ukosea Sana, na ikiwa kweli Watanzania wote hapo Jana wangefikir kama wew basi ni hakika hamasa ingekua ni hafifu na pengine tusingeweza kupata matokeo...
Back
Top Bottom