Recent content by Mdukuzii

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mdee na wenzake: Shahidi Nusrat Hanje amuomba Jaji warudi kwenye Vikao vya CHADEMA wakayamalize

    Yuko milembe muda huu,siwezi kuogopa mtu yuko wodini
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nusrat Hanje aibwaga CHADEMA Mahakamani kwa hoja

    Umejuaje njoo nikugonge we mwanamke
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nusrat Hanje aibwaga CHADEMA Mahakamani kwa hoja

    Ndio maana sensa inasema wanawake ni wengi.ni pamoja na hiyu mtoa post
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mdee na wenzake: Shahidi Nusrat Hanje amuomba Jaji warudi kwenye Vikao vya CHADEMA wakayamalize

    Dah Ndugai na Magufuli pumzikeni kwa amani
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Familia yangu ina ukaribu sana na EX wangu kuliko mke wangu jambo ambalo ndoa yangu imeanza kuwa na misukosuko

    Familia yenu ni wambea sana,mkeo ameyajuaje haya yote
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina amani kabisa ya kulala na mwanamke ambaye sijadhamiria awe mke wangu

    Kwenye sensa umewekwa group gani
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Msukuma amkosoa Godwin Kunambi kwa kujenga hoteli na Soko la Ndugai, miradi ya hasara tupu!

    Ya chato ndio kiboko,basi moja tu linaitwa sabuni,linatoka chato to mwanza
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

    Acha uchawi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Nchi yetu bado ni mapori tu,
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Ukivuka igoma tu unautafuta kisesa,hivi kisesa ni mwanza au simiyu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Utaotaje kitambi huku umeshinda shambani unalima hekari nzima peke yako,ukirudi unakutana na michembe
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Sahihi kabisa,dagaa ni mboga moja safi sana ila watu wa bara hawaijulii
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Uko sahihi,kuna mkoa nilikula ile chapati yenye kurasa nikauliza mpishi nikaonyeshwa kijana toka zanzibar
Back
Top Bottom