Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,851
"MH JAJI , NAOMBA TURUDI KULE KWENYE CHAMA TUKAJADILI TUKAYAMALIZE " Hivi ndivyo alivyoomba Msaliti Nusrat Shaban Hanje baada ya kushindwa kuthibitisha namna alivyopelekewa fomu gerezani na kuijaza ili awe mbunge.
Alikuwa akihojiwa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
Pamoja na hayo Nusrat amedai Mahakamani kwamba Vyama vya siasa vinafifisha ndoto za vijana kwenye siasa (Hakufafanua)
Alikuwa akihojiwa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
Pamoja na hayo Nusrat amedai Mahakamani kwamba Vyama vya siasa vinafifisha ndoto za vijana kwenye siasa (Hakufafanua)