Kuna mwanamke nlikua nae mwanzo wa uhusiano wetu alikuwa anasema hapendi pesa kbs kwa mwanaume,eti yeye anapendaga kweli na kiukweli hakuwai kuniomba pesa ,kumbe alikua anafanya uchunguzi wa kipato changu cku ya cku alianza minzinga hadi nikakimbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.